Saturday, February 15, 2025

Home
Unlabelled
YAS YADHAMINI TAMASHA LA MAASAI TOURISM CULTURE KUKUZA UTAMADUNI WA KITANZANIA.
YAS YADHAMINI TAMASHA LA MAASAI TOURISM CULTURE KUKUZA UTAMADUNI WA KITANZANIA.
Kaimu Mkurugenzi wa Mtandao wa simu wa Yas Tanzania Kanda ya Kaskazini,Daniel Mainoya, akimwelezea Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni Tanzania Boniface Kadili, kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, kuhusu bidhaa na huduma za Yas wakati wa Maasai Tourism Cultural Festival inayofanyika katika Uwanja wa Magereza, Kisongo,Arusha. Yas inadhamini tamasha hilo kwa lengo la kukuza na kuhifadhi utamaduni wa Kitanzania.
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Airtel, UNICEF wakabidhi Vifaa vya Intaneti ya kasi kwa Shule 30 za Sekondari Dodoma
Mwakilishi wa Afisa Elimu Sekondari Mkoa wa Dodoma, Bi. Grace Samweli, (Kulia) akipokea moja ya vifaa vya intaneti kutoka kwa Meneja wa Kand...

No comments:
Post a Comment