MIXX BY YAS YAWAFIKIA WAKAZI WA MTWARA YATOA ZAWADI YA MILIONI 20 KWA MSHINDI WA MAGIFTI YA KUGFTI - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Sunday, March 2, 2025

MIXX BY YAS YAWAFIKIA WAKAZI WA MTWARA YATOA ZAWADI YA MILIONI 20 KWA MSHINDI WA MAGIFTI YA KUGFTI

Hatimaye kampeni ya Magift inayofanywa na kampuni ya Yas Tanzania ,kupitia kitengo cha Mixx by Yas imeweza  kuwazawadia, wateja na washindi wake wa mkoa wa mtwara zawadi mbalimbali, ikiwemo fedha na gari Moja.
Akizungumza mara baada ya kuibuka mshindi wa kampeni ya Mixx by Yas, Zena Ponera ambaye ni mkazi wa manispaa ya Mikindani mjini mtwara ameelezea  MIKINDANI Siri ya ushindi huo, ambapo mbali na mambo mengine amesishukuru Yas kwa kufanikisha kuchezesha Droo za Magift ya KUGIFT 2024-25.

Kwa upande wake Meneja wa Yas Kanda ya Mtwara, Eric Munuku,ameelezea namna kampeni hiyo ilivyoweza kuwanufaisha watanzania wengi ambao wameweza kujishindia zawadi mbalimbali zikiwemo fedha magari  na zawadi za simu za mkononi Kutoka Yas na Mixx by Yas.

Kampuni ya mtandao wa Mawasiliano ya Yas Tanzania kwa kipindi cha miezi miwili na nusu iliyopita iliendesha kampeni hiyo nchi ambapo jumla ya washindi Zaidi 300 walifanikiwa kujinyakulia zawadi mbalimbali Kutoka Kampuni ya Yas Tanzania.

No comments:

Post a Comment

SIMTANK TANZANIA YATOA ZAWADI KWA MAWAKALA WAKE WAKISHEREHEKEA MIAKA 35 TANGU KUANZISHA

    Mwanzilishi wa Kampuni ya Silafrika Tanzania inayozalisha bidhaa za Simtank, Gulab Shah (wapili kushoto), akikabidhi cheti na zawadi ya ...

Pages