Benki ya NBC yaendelea kuipiga jeki sekta ya Madini - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Friday, September 27, 2019

Benki ya NBC yaendelea kuipiga jeki sekta ya Madini

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (kushoto) akimsikiliza  Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Geita, Martin Nkanda wakati wa maonesho ya pili ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini yanayofanyika katika Viwanja vya CCM Kalangalala mjini Geita. Katikati ni Meneja wa NBC kanda ya ziwa, Japhet Mazumira. NBC ni mmoja ya wadhamini wa maonesho hayo.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu (kushoto) akisalimiana na Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Geita, Martin Nkanda katika Maonesho ya pili ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini yanayofanyika katika Viwanja vya CCM Kalangalala mjini. Katikati ni Meneja wa NBC kanda ya ziwa, Japhet Mazumira.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kushoto), akisalimiana na Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Geita, Martin Nkanda wakati akiwasili katika hafla ya Ufunguzi wa Maonesho ya pili ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini yaliyofanyika katika Viwanja vya CCM Kalangalala mjini Geita hivi karibuni. Wapili kulia ni Meneja wa NBC kanda ya ziwa, Japhet Mazumira. NBC inadhamini maonyesho hayo.

Waziri Mkuu, Kassim Majakiwa (kushoto), akisalimiana na Meneja wa NBC Kanda ya Ziwa, Japhet Mazumira, akipokwenda kufungua rasmi maonesho hayo.

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Gabriel Robert (kulia) akisalimiana na Meneja wa NBC kanda ya ziwa, Japhet Mazumira wakati akitembelea banda la benki hiyo katika  Maonesho ya pili ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini yanayofanyika katika Viwanja vya CCM Kalangalala mjini Geita. Katikati ni Meneja Uendeshaji Tawi, Thadei Tibalinda.

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima (kulia), akisalimiana na Ofisa Huduma kwa Wateja, Aggrey Kanani wakati akitembelea banda la Benki hiyo wakati wa Maonesho ya pili ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini yanayofanyika katika Viwanja vya CCM Kalangalala mjini Geita. Katikati ni Meneja wa NBC kanda ya ziwa, Japhet Mazumira.

No comments:

Post a Comment

Benki ya Biashara DCB kuendelea kuboresha Maisha ya Watanzania

Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Bi. Zawadia Nanyaro (wa nne kulia) akishikana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Bias...

Pages