Saturday, December 12, 2020
Wafanyakazi wa Benki ya Absa wajitolea kusaidia watoto
Mkuu wa Huduma za Kibiashara wa Benki ya Absa Tanzania, Pius Makalle akikabidhi baadhi ya vitu walivyotoa msaada kwa Meneja wa Mahabusu ya Watoto Upanga, Darius Damas (wa tano kushoto), kituoni hapo, Upanga, Dar es Salaam Jana. Katika hafla hiyo wafanyakazi hao walikabidhi vifaa vya umeme wa sola, jokofu, vyakula na misaada mingine ya kibinadamu vyenye thamani ya zaidi ya shs milioni 6.7.
Meneja Rasilimali watu wa Benki ya Absa Tanzania, Anna Chacha, akikabidhi baadhi ya vitu walivyotoa msaada kwa Meneja wa Mahabusu ya Watoto Upanga, Darius Damas (wa tano kushoto), kituoni hapo jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo wafanyakazi hao walikabidhi vifaa vya umeme wa sola, jokofu, vyakula, na misaada mingine ya kibinadamu vyenye thamani ya shs milioni 6.7.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Absa Tanzania wakibeba misaada mbalimbali wakati wakiwasili katika mahabusu ya watoto Upanga jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo wafanyakazi hao walikabidhi vifaa vya umeme wa sola, jokofu, vyakula, na misaada mingine ya kibinadamu vyenye thamani ya shs milioni 6.7.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance Yaadhimisha Miaka Minne ya Mafanikio katika Kuwawezesha Wanawake na Kubadilisha Jamii
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,...
No comments:
Post a Comment