Tanzania Commercial Bank yaungana na Standard Chartered Bank katika utoaji wa huduma za kibenki. - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Saturday, October 14, 2023

Tanzania Commercial Bank yaungana na Standard Chartered Bank katika utoaji wa huduma za kibenki.

 





Benki ya Standard Chartered Tanzania iliandaa hafla ya kiamsha kinywa kwa wateja wake wa Biashara katika Hoteli ya Hyatt Regency ikiwa pamoja na Benki ya Biashara Tanzania lengo ikiwa ni kuhamasisha huduma inayowawezesha wateja wa SCB kutumia mtandao wa TCB kuweka na kutoa pesa kwenye Matawi yake 82 pamoja na Wakala 5,600 wa TCB kote nchini.

Ushirikiano huu unalenga kutoa urahisi, wakati halisi na mazingira salama kwa wateja wa Standared Chartered Bank kutekeleza huduma zao za benki.

Katika Hafla hiyo ilihudhuriwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TCB, Bw. Jema Msuya pamoja na wawakilishi waandamizi kutoka benki hiyo, Rayson Foya, pamoja na Kaimukurugenzi wa Standared Chartered ambae pia ni Mkuu wa Kitengo cha Miamala Efeh Amoah pamoja na maafisa wengine kutoka SCB.

No comments:

Post a Comment

DCB YAZINDUA KAMPENI YA "TUMA BURE, SHINDA KILA WIKI" KUVUTIA WATEJA WA HUDUMA ZA KIDIJITALI

   DAR ES SALAAM: Benki ya DCB imezindua kampeni maalum ya miezi sita ijulikanayo kama " Tuma Bure, Shinda Kila Wiki ", inayolenga...

Pages