Friday, August 25, 2017

Home
SPORTS AND ENTERTAINMENT
Ngoma Africa Band Kutumbuiza mjini Bremen,Ujerumani Jumamosi 9.09.2017
Ngoma Africa Band Kutumbuiza mjini Bremen,Ujerumani Jumamosi 9.09.2017
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa Band" aka FFU-Ughaibuni yenye maskani nchini ujerumani,inatarajiwa kulitingisha jiji la Bremen siku ya jumamosi 9.09.2017 katika ukumbi wa Wisserterasse kuanzia saa mbili usiku.
Bendi hiyo iliyojijengea umaarufu katika kila kona kwa tabia zake za kuwadatisha akili washabiki wake katika majukwaa ya kimataifa kwa kutumia mdundo wake "Extraordinary Bongo Dansi" ndio bendi pekee ya kigeni barani ulaya inayodumu katika tasnia ya muziki kwa muda mrefu barani ulaya tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993 na kiongozi wake mwanamuziki Kamanda Ras Makunja wa himaya yake ya viumbe wa ajabu "Anunnaki Aliens"
Tags
# SPORTS AND ENTERTAINMENT
Share This
SPORTS AND ENTERTAINMENT
Labels:
SPORTS AND ENTERTAINMENT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAANDAA JUKWAA LA WATEJA MKOANI MBEYA ZAIDI YA WATEJA 150 WASHIRIKI.
Tanzania – 18 Juni 2025 – Akiba Commercial Bank Plc (ACB) iliandaa mkutano Maalum wa Wateja jijini Mbeya lililowakutanisha zaidi ya wateja...
No comments:
Post a Comment