Jumla ya  shule 45 kutoka katika mikoa 13 nchini zikiwemo za 
Serikali ambazo nazo zimefanya vizuri katika mtihani wa Darasa la Nne na la Sita.
Akiongea wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza na kuwapa zawadi baadhi ya 
watoto waliojitokeza kuhudhuliria katika hafra hiyo, Hafisa Miradi wa 
Taasisi ya Teachers Junctions Njama Salim amesema Mradi huu ulianzishwa 
Mwaka 2017 chini ya Usimamizi wa Taasisi hiyo ikiwa na lengo la 
kuimarisha upimaji wa wanafunzi kwa upande wa Shule za Msingi za watu 
binafsi pamoja na zile za serikali.
Amesema katika Mashindano ha shule ya 
Ubungo ya Tigohane imeibuka kidedea kwa kuchukua ushindi wa jumla kwa 
Mtihani wa darasa la Nne na kuongeza kuwa Watoto wote walioshiriki 
Mtihani huo walikua katika Mchuano mkali.
Amesema Lengo Kubwa la Mtihani huo ni 
kuisaidia Serikali katika kuwapima wanafunzi na kwamba kwa mara ya 
kwanza wameweza kupata ushiriki mzuri kutoka katika shule za Serikali 
zinazotumia Mtaala wa kingereza.
Upande wake Msemaji kutoka shule ya wavulana ya Sullivan Provost kwa niaba ya Mkuu wa shule Felix Kavishe, amesema kuwa wataendelea kuunga mkono mashindano hayo kwani yanaleta chachu ya ufaulu. 
 
Mradi wa INTERSCHOOL EXAMS AND 
CONSULTANCY ni Mradi wa miaka Mitatu na unalenga katika kutoa ushauri na
 kuhamasisha wanafunzi kwa kuwapatia Zawadi mbalimbali hasa we
ale wenye wastani Mkubwa.
Baadhi ya wanafunzi waliohudhulia hafla hiyo na baadhi yao wameibuka washindi katika mitihani yao ambayo, katika mashindano hayo Shule 45 zimeshiriki mashindano hayo. 
Mwanafuzi
 wa Darasa la nne katika Shule ya Msingi ya Junior iliyoko Mzumbe 
Morogoro Jackline Bahasha, akivalisha Medali ya ufauru wa jumla na 
Meneja wa Mauzo na Masoko wa New Habari 2006, Mrs Rehema Ahmed.
Mwanafunzi
 wa Darasa la nne katika Shule ya Msingi ya Diamond iliyoko  Dar es 
Salaam Abdusalaam Selemani, akivalisha Medali ya ufauru wa jumla na 
Meneja wa Mauzo na Masoko wa New Habari 2006, Mrs Rehema Ahmed.
Mwanafunzi
 wa Darasa la nne katika Shule ya Msingi ya Tigohane iliyoko Wilaya ia 
Ilala Dar es Salaam  Brian Richard, akipokea Ngao ya ushindi kwa 
kuongoza kwa masomo yote katika shule zilizoshindanishwa na Meneja wa 
Mauzo na Masoko wa New Habari 2006, Mrs Rehema Ahmed.
Mwanafunzi wa Darasa la sita katika Shule ya Msingi ya Dominic Savio ya Iringa, Gloria Castro,
 akipokea Ngao ya ushindi kwa kuongoza kwa masomo yote katika shule 
zilizoshindanishwa katika masomo ya darasa la sita na Meneja wa Mauzo na
 Masoko wa New Habari 2006, Mrs Rehema Ahmed. mashindano hayo 
yalioanzishwa na Mradi wa  Teachers Junction.
Mwalimu
 wa Taaluma wa Shule ya Sekondari ya wavulana Sullivan Provost, Felix 
Kavishe akizungumza na walimu wazazi pamoja na wanafunzi kwaniaba ya 
Mkuu wa shule hiyo Mr Alex Nichoraus wakati wa sherehe za kutoa tuzo kwa
 wanafunzi wa Darasa la sita na lanne waliofanya vizuri ikiwa shule ya 
Sullivan ilikuwa wadhamini wakuu ambapo waliandaa Ngao kwaajili ya 
darasa la sita katika mashindano hayo Shule 45 walishiriki  hayo yalioanzishwa na Mradi wa  Teachers Junction.
Mwanafunzi
 wa Shule ya Sekondari ya wavulana Sullivan Provost, akitoa neno kwa 
wanafunzi waliohudhulia mashindano hayo nakuwasihi kama wakitaka 
kuendelea vizuri na ufaulu wao basi wachague shule ya Sullivan kwaajili 
ya kupata elimu bora mashindano hayo yalioanzishwa na Mradi wa  Teachers Junction.
Afisa Mradi wa Teachers Juction Njama Salum akizungumza wakati wa hafla hiyo ambapo shule 45 walishiriki mashindano hayo.
Mkuu
 wa Shule ya Msingi Tigohane iliyoko Wilaya ia Ilala Dar es Salaam  
 Meleck Macha alielala chini, akibubujikwa na machozi baada yakutangazwa
 kuwa Mwanafunzi wa  shuleyake Brian Msangi,  ameibuka kidedea 
nakujinyakulia Ngao ya ufaulu katika mitihani yote kwa darasa la nne, Shule 45 zimeshiriki mashindano hayo. 
Mkuu wa Shule ya Msingi ya Dominic Savio Sister Beatrice Kapinga, Iringa, akitoa neno la shurani kwa uongozi wa Shule
 ya Sekondari ya wavulana Sullivan Provost, kwakuona umuhimu wa 
mashindano hayo na kuandaa ngao hiyo kwa wanafunzi wa darasa la sita 
ambayo shule ya Dominic Savio ndio imenyakua ngao hiyo kupitia mwananzi wake Gloria Castro,  ameibuka
 kidedea nakujinyakulia Ngao ya ufaulu katika mitihani yote kwa darasa 
la sita, ambapo Shule 45 kutoka mikoa 13 nchin 
MATUKIO KATIKA PICHA
Wanafunzi wa Shule ya Wavulana na Sullivan wakiwa katika hafla hiyo.
 
No comments:
Post a Comment