Sunday, November 19, 2017
WANANCHI WAANDAMANA HARARE KUSHINIKIZA RAIS MUGABE AJIUZULU
Wananchi wa Zimbabwe waliojawa na furaha wameandamana katika Jiji la Harare wakishinikiza rais Robert Mugabe ajiuzulu.
Waandamanaji hao wameonekana wakiwakumbatia wanajeshi kuwapongeza kwa uamuzi wa kuchukuwa udhibiti wa nchi hiyo tangu jumatano.
Maandamano hayo yanaungwa mkono na wanajeshi na wanachama wa chama tawala wa Zanu-PF, huku maveterani wa vita nao wakimtaka Mugabe aachie madaraka.
Wananchi wa Zimbabwe bila kujali rangi zoa ama itikadi za vyama vyao wakiandamana mitaani.
Waandamanaji wakiwa na picha za Mkuu wa Majeshi Jenerali Constatino Chiwenga pamoja na Makamu wa Rais Emerson Mnangagwa katika kuwapongeza
Tags
# INTERNATIONAL
Share This
INTERNATIONAL
Labels:
INTERNATIONAL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ABSA BANK TANZANIA REAFFIRMS COMMITMENT TO SUPPORTING TANZANIA’S HEALTH SECTOR
Absa Bank Tanzania Managing Director, Obedi Laiser (right), competes alongside other participants during the 10-kilometre race of the 2026 A...



No comments:
Post a Comment