Program ya Wajibika ya Benki ya NBC mkombozi kwa vijana - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Sunday, February 18, 2018

Program ya Wajibika ya Benki ya NBC mkombozi kwa vijana

Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Mussa Severin (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Adeth Philimon (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Oliver Proper (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Deogratus Alexanda (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Flora Odunda (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Geofrey Frank (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Vedastus Yegela (kushoto), anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.



No comments:

Post a Comment

APeF Yazindua Mfuko wa Ziada Kupanua wigo wa uwekaji Akiba, Uwekezaji na Ulinzi

  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, (CMSA), CPA Nicodemus Mkama, akikabidhi waraka wa ofa kwa Kaimu Mwenyekiti ...

Pages