Program ya Wajibika ya Benki ya NBC mkombozi kwa vijana - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Sunday, February 18, 2018

Program ya Wajibika ya Benki ya NBC mkombozi kwa vijana

Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Mussa Severin (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Adeth Philimon (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Oliver Proper (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Deogratus Alexanda (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Flora Odunda (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Geofrey Frank (kushoto),anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya NBC, Irene Peter (kulia), akikabidhi cheti kwa Vedastus Yegela (kushoto), anayesomea shahada ya sanaa na elimu ya juu katika Chuo Kikuu cha Saint John ambaye ni mmoja wa wahitimu wa progam ya Wajibika ya NBC  yenye lengo la kuwawezesha  vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za  elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na isiyo rasmi. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Ilala Bungoni, Dar es Salaam juzi. Katikati ni Mratibu kutoka asasi ya Restless Development, Sofia Jagbrant.



No comments:

Post a Comment

Airtel, UNICEF wakabidhi Vifaa vya Intaneti ya kasi kwa Shule 30 za Sekondari Dodoma

Mwakilishi wa Afisa Elimu Sekondari Mkoa wa Dodoma, Bi. Grace Samweli, (Kulia) akipokea moja ya vifaa vya intaneti kutoka kwa Meneja wa Kand...

Pages