Mkazi wa Lindi akabidhiwa Kirikuu yake aliyojishindia katika kampeni ya Malengo ya Benki ya NBC mjini Tanga leo - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Thursday, March 1, 2018

demo-image

Mkazi wa Lindi akabidhiwa Kirikuu yake aliyojishindia katika kampeni ya Malengo ya Benki ya NBC mjini Tanga leo

1+%25282%2529
Meneja wa Tawi la benki ya NBC Tanga,Asia Chambega (katikati) akimkabidhi funguo ya gari aina ya Suzuki Carry maarufu kama ‘Kirikuu’ kwa mkazi wa Lindi,  Saidi Chiwina baada ya kuibuka mmoja wa washindi sita wa Kampeni ya Akaunti ya Malengo ya benki hiyo katika hafla iliyofanyika mjini Tanga leo. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Wateja tawini hapo, Mwanahawa Jangwa.
2+%25282%2529
Meneja wa Tawi la benki ya NBC Tanga,Asia Chambega (katikati) akimkabidhi kadi ya gari ya gari aina ya Suzuki Carry maarufu kama ‘Kirikuu’ kwa mkazi wa Lindi,  Saidi Chiwina baada ya kuibuka mmoja wa washindi sita wa Kampeni ya Akaunti ya Malengo ya benki hiyo katika hafla iliyofanyika mjini Tanga leo. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Wateja tawini hapo, Mwanahawa Jangwa.
3+%25281%2529
Meneja wa Tawi la benki ya NBC Tanga,Asia Chambega (katikati) akimkabidhi kibao cha namba za gari aina ya Suzuki Carry maarufu kama ‘Kirikuu’ kwa mkazi wa Lindi,  Saidi Chiwina baada ya kuibuka mmoja wa washindi sita wa Kampeni ya Akaunti ya Malengo ya benki hiyo katika hafla iliyofanyika mjini Tanga leo. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Wateja tawini hapo, Mwanahawa Jangwa.
4
Mshindi wa zawadi ya gari ya kampeni ya akaunti ya Malengo ya NBC, Saidi Chiwina (katikati) akihojiwa na vyombo mbalimbali vya habari mara baada ya kukabidhiwa gari lake mjini Tanga leo.
5
Mshindi wa zawadi ya gari ya kampeni ya akaunti ya Malengo ya NBC, Saidi Chiwina akijaribu kuwasha gari lake mara baada ya kukabidhiwa na Meneja wa NBC Tawi la Tanga, Asia Chambega mjini Tanga leo.
6+%25281%2529
Mshindi wa zawadi ya gari ya kampeni ya akaunti ya Malengo ya NBC, Saidi Chiwina (wan ne kushoto) akipozi kwa picha ya kumbukumbu baada ya kukabidhiwa zawadi ya gari lake mjini Tanga leo baada ya kuibuka kidedea katika kampeni ya akaunti ya Malengo ya NBC.

No comments:

Post a Comment

Meneja wa Tawi la benki ya NBC Tanga,Asia Chambega (katikati) akimkabidhi funguo ya gari aina ya Suzuki Carry maarufu kama ‘Kirikuu’ kwa mkazi wa Lindi,  Saidi Chiwina baada ya kuibuka mmoja wa washindi sita wa Kampeni ya Akaunti ya Malengo ya b...

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *