Thursday, March 1, 2018

Home
KITAIFA
MWENDELEZO WA KUTOA MAJIBU KWA WANANCHI WA DAR ES SALAAM WALIOKIMBILIA KWA RC MAKONDA KUPATA MSAADA WA KISHERIA.
MWENDELEZO WA KUTOA MAJIBU KWA WANANCHI WA DAR ES SALAAM WALIOKIMBILIA KWA RC MAKONDA KUPATA MSAADA WA KISHERIA.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda anawatangazia wananchi wote waliowasilisha Malalamiko yao kwenye Ofisi yake dhidi ya Taasisi za Kifedha na Bank kufika Ofisini kwake siku ya kesho March 02 kuanzia Saa mbili asubuhi kwaajili ya kuchukuwa Majibu yao.
Walengwa ni wale waliosikilizwa na jopo la wataalamu na wanasheria wakati wa Wiki ya RC Makonda kutoa Masaada wa kisheria kwa wanyonge iliyofanyika January 29 hadi February 03.
Zoezi la kutoa majibu linaendelea ambapo leo ilikuwa ni zamu ya wananchi wenye malalamiko dhidi ya Kazi na Ajira pamoja na Mirathi.
Tags
# KITAIFA
Share This
Newer Article
Mkazi wa Lindi akabidhiwa Kirikuu yake aliyojishindia katika kampeni ya Malengo ya Benki ya NBC mjini Tanga leo
Older Article
CAF YATAJA WATANZANI SITA KUCHEZESHA NA KUSIMAMIA MECHI LIGI YA MABINGWA NA KOMBE LA SHIRIKISHO
MHE.HEMED ABDULLA AFUNGUA KITUO CHA AFYA CHA UZI NA NG'AMBWA
Hassani MakeroDec 27, 2023Shirika la USAID laipongeza serikali ya Tanzania mafanikio katika miradi ya elimu na afya nchini
Hassani MakeroNov 17, 2023Takwimu sahihi nyenzo muhimu mapambano dhidi ya Ukimwi
Hassani MakeroNov 16, 2023
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda anawatangazia wananchi wote waliowasilisha Malalamiko yao kwenye Ofisi yake dhidi ya Taasisi za Kifedha na Bank kufika Ofisini kwake siku ya kesho March 02 kuanzia Saa mbili asubuhi kwaajili ya kuc...
No comments:
Post a Comment