MWENDELEZO WA KUTOA MAJIBU KWA WANANCHI WA DAR ES SALAAM WALIOKIMBILIA KWA RC MAKONDA KUPATA MSAADA WA KISHERIA. - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Thursday, March 1, 2018

MWENDELEZO WA KUTOA MAJIBU KWA WANANCHI WA DAR ES SALAAM WALIOKIMBILIA KWA RC MAKONDA KUPATA MSAADA WA KISHERIA.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda anawatangazia wananchi wote waliowasilisha Malalamiko yao kwenye Ofisi yake dhidi ya Taasisi za Kifedha na Bank kufika Ofisini kwake siku ya kesho March 02 kuanzia Saa mbili asubuhi kwaajili ya kuchukuwa Majibu yao.

Walengwa ni wale waliosikilizwa na jopo la wataalamu na wanasheria wakati wa Wiki ya RC Makonda kutoa Masaada wa kisheria kwa wanyonge iliyofanyika January 29 hadi February 03.

Zoezi la kutoa majibu linaendelea ambapo leo ilikuwa ni zamu ya wananchi wenye malalamiko dhidi ya Kazi na Ajira pamoja na Mirathi.

No comments:

Post a Comment

SERIKALI YASISITIZA UTAALAMU NA UBUNIFU KATIKA UNUNUZI NA UGAVI

Serikali imewataka wataalam wa ununuzi na ugavi nchini kuongeza ubunifu, uongozi bora na matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuongeza ufani...

Pages