MWENDELEZO WA KUTOA MAJIBU KWA WANANCHI WA DAR ES SALAAM WALIOKIMBILIA KWA RC MAKONDA KUPATA MSAADA WA KISHERIA. - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Thursday, March 1, 2018

demo-image

MWENDELEZO WA KUTOA MAJIBU KWA WANANCHI WA DAR ES SALAAM WALIOKIMBILIA KWA RC MAKONDA KUPATA MSAADA WA KISHERIA.

IMG_4513
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda anawatangazia wananchi wote waliowasilisha Malalamiko yao kwenye Ofisi yake dhidi ya Taasisi za Kifedha na Bank kufika Ofisini kwake siku ya kesho March 02 kuanzia Saa mbili asubuhi kwaajili ya kuchukuwa Majibu yao.

Walengwa ni wale waliosikilizwa na jopo la wataalamu na wanasheria wakati wa Wiki ya RC Makonda kutoa Masaada wa kisheria kwa wanyonge iliyofanyika January 29 hadi February 03.

Zoezi la kutoa majibu linaendelea ambapo leo ilikuwa ni zamu ya wananchi wenye malalamiko dhidi ya Kazi na Ajira pamoja na Mirathi.

No comments:

Post a Comment

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda anawatangazia wananchi wote waliowasilisha Malalamiko yao kwenye Ofisi yake dhidi ya Taasisi za Kifedha na Bank kufika Ofisini kwake siku ya kesho March 02 kuanzia Saa mbili asubuhi kwaajili ya kuc...

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *