Thursday, March 1, 2018

Home
KITAIFA
MWENDELEZO WA KUTOA MAJIBU KWA WANANCHI WA DAR ES SALAAM WALIOKIMBILIA KWA RC MAKONDA KUPATA MSAADA WA KISHERIA.
MWENDELEZO WA KUTOA MAJIBU KWA WANANCHI WA DAR ES SALAAM WALIOKIMBILIA KWA RC MAKONDA KUPATA MSAADA WA KISHERIA.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda anawatangazia wananchi wote waliowasilisha Malalamiko yao kwenye Ofisi yake dhidi ya Taasisi za Kifedha na Bank kufika Ofisini kwake siku ya kesho March 02 kuanzia Saa mbili asubuhi kwaajili ya kuchukuwa Majibu yao.
Walengwa ni wale waliosikilizwa na jopo la wataalamu na wanasheria wakati wa Wiki ya RC Makonda kutoa Masaada wa kisheria kwa wanyonge iliyofanyika January 29 hadi February 03.
Zoezi la kutoa majibu linaendelea ambapo leo ilikuwa ni zamu ya wananchi wenye malalamiko dhidi ya Kazi na Ajira pamoja na Mirathi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Airtel, UNICEF wakabidhi Vifaa vya Intaneti ya kasi kwa Shule 30 za Sekondari Dodoma
Mwakilishi wa Afisa Elimu Sekondari Mkoa wa Dodoma, Bi. Grace Samweli, (Kulia) akipokea moja ya vifaa vya intaneti kutoka kwa Meneja wa Kand...

No comments:
Post a Comment