Mshindi wa Kampeni ya Malengo ya NBC Moshi aondoka na Kirikuu yake. - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Wednesday, March 14, 2018

Mshindi wa Kampeni ya Malengo ya NBC Moshi aondoka na Kirikuu yake.

Meneja wa Tawi la NBC mjini Moshi, Salma Yatera (kushoto), akikabidhi kadi ya usajili wa gari jipya aina ya Suzuki Carry kwa Lucina Massawe baada ya kuibuka mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. Anayeangalia ni Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa NBC, Filbert Mponzi. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu.
Meneja Masoko wa NBC (kutoka kushoto), Meneja wa NBC Tawi la Moshi, Salma Yatera, mshindi wa zawadi ya gari jipya aina ya Suzuki Carry ya kameni ya akaunti ya Malengo, Lucina Massawe na Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa benki hiyo, Flbert Mponzi, wakishangilia mara baada ya mshindi huyo kukabidhiwa gari lake mjini Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu.
Meneja wa Tawi la NBC mjini Moshi, Salma Yatera (kushoto), akikabidhi kadi ya usajili wa gari jipya aina ya Suzuki Carry kwa Lucina Massawe baada ya kuibuka mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu.
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa NBC, Filbert Mponzi (kushoto), akikabidhi kadi ya usajili wa gari jipya aina ya Suzuki Carry kwa Lucina Massawe baada ya kuibuka mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu.
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa NBC, Filbert Mponzi (kushoto), akikabidhi kadi ya usajili wa gari jipya aina ya Suzuki Carry kwa Lucina Massawe baada ya kuibuka mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu. Kulia ni Meneja wa NBC Tawi la Moshi, Salma Yatera.

No comments:

Post a Comment

Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance Yaadhimisha Miaka Minne ya Mafanikio katika Kuwawezesha Wanawake na Kubadilisha Jamii

Mkurugenzi Mtendaji wa  Benki ya Absa  Tanzania, Bw.  Obedi Laiser  (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,...

Pages