Meneja wa Tawi la NBC mjini Moshi, Salma Yatera (kushoto), akikabidhi kadi ya usajili wa gari jipya aina ya Suzuki Carry kwa Lucina Massawe baada ya kuibuka mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu.
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa NBC, Filbert Mponzi (kushoto), akikabidhi kadi ya usajili wa gari jipya aina ya Suzuki Carry kwa Lucina Massawe baada ya kuibuka mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu.
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa NBC, Filbert Mponzi (kushoto), akikabidhi kadi ya usajili wa gari jipya aina ya Suzuki Carry kwa Lucina Massawe baada ya kuibuka mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo. Makabidhiano hayo yalifanyika Moshi, Kilimanjaro hivi karibuni. NBC imetoa zawadi ya magari sita katika kampeni hiyo iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu. Kulia ni Meneja wa NBC Tawi la Moshi, Salma Yatera.
No comments:
Post a Comment