Wednesday, February 27, 2019
VIJANA WA KITANZANIA KUPATA FURSA YA KIPEKEE
Vijana wa Kitanzania kupata fursa ya kipekee!
Shindano la ujasiriamali la Tujenge TZ Innovation Challenge
linapokea michanganuo kutoka kwa wajasiriamali vijana hadi tarehe 13
mwezi wa tatu mwaka huu.
Vijana kupewa fursa ya kupata mafunzo, wawekezaji na mengine mengi kwa ajili ya kukuza biashara zao.
Tembelea www.tujengetzchallenge.co.tz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
DCB YAZINDUA KAMPENI YA "TUMA BURE, SHINDA KILA WIKI" KUVUTIA WATEJA WA HUDUMA ZA KIDIJITALI
DAR ES SALAAM: Benki ya DCB imezindua kampeni maalum ya miezi sita ijulikanayo kama " Tuma Bure, Shinda Kila Wiki ", inayolenga...
No comments:
Post a Comment