TP Malaika yaichabanga Airwing 2-1 Prophet Suguye Cup - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Friday, May 31, 2019

TP Malaika yaichabanga Airwing 2-1 Prophet Suguye Cup


Mshambuliaji wa timu ya Airwing FC Ibrahim Juma,  mwenye jezi ya bluu akijaribu kumtoka beki wa TP Malaika ya Machimbo, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwa kuichapa Airwing mabao 2-1.
Mshambuliaji wa timu ya Airwing FC Mussa Maulidi (kushoto), akimkabili beki wa TP Malaika ya Machimbo, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwa kuichapa Airwing mabao 2-1
Mshambuliaji wa timu ya TP Malaika ya machimbo Salum Machaku,  mwenye mpira akijaribu kuwatoka mabeki wa Airwing FC, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwakuichapa Airwing mabao 2-1.
Golikipa wa timu ya Airwing Iddi Mohamedi, akijaribu kuokoa moja ya mashambulizi wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwa kuichapa Airwing mabao 2-1.
Nahodha na Mshambuliaji wa timu ya TP Malaika ya machimbo Candy Panya (wambele),  akiwania mpira wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwa kuichapa Airwing mabao 2-1.
Beki wa timu ya Airwing FC Raymond Chaburu (aliepiga mpira kwa kichwa), akiokoa moja ya shambulizi wakati wa mchezo wa  ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwa kuichapa Airwing mabao 2-1

Mashabikiwalifikakushuhudiamtanange huo.

No comments:

Post a Comment

Absa Dar City Marathon 2024 zatimua vumbi jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (kushoto), akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa mbio za nu...

Pages