AZAM YACHEZEA KICHAPO MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Tuesday, June 11, 2019

AZAM YACHEZEA KICHAPO MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP


Mshambuliaji wa Kivule Forest FC  Kissa kisa, akijaribu kumtoka Beki wa Azam Poly Sacks katika mchezo wa Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana  leo viwanjani hapo.
Wachezaji wa timu hizo wakiwania mpira wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest  imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana  leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango  wa Azam Poly Sacks akijaribu kuufuata  mpira dhidi ya mchezo wao na Kivule Forest  wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet Suguye  Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest  imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana  leo viwanjani hapo.

No comments:

Post a Comment

Portwest Deepens East African Footprint with Apparel Manufacturing Investment in TanzaniaDar es Salaam, Tanzania

The Deputy Minister for Industry and Trade, Hon. Denis Londo (center), cuts the ribbon to mark the official opening of Afriport’s occupation...

Pages