Tuesday, June 11, 2019
AZAM YACHEZEA KICHAPO MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP
Mshambuliaji wa Kivule Forest FC Kissa kisa, akijaribu kumtoka Beki wa Azam Poly Sacks katika mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana leo viwanjani hapo.
Wachezaji wa timu hizo wakiwania mpira wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango wa Azam Poly Sacks akijaribu kuufuata mpira dhidi ya mchezo wao na Kivule Forest wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana leo viwanjani hapo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Portwest Deepens East African Footprint with Apparel Manufacturing Investment in TanzaniaDar es Salaam, Tanzania
The Deputy Minister for Industry and Trade, Hon. Denis Londo (center), cuts the ribbon to mark the official opening of Afriport’s occupation...
No comments:
Post a Comment