Tuesday, June 11, 2019

AZAM YACHEZEA KICHAPO MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP
Mshambuliaji wa Kivule Forest FC Kissa kisa, akijaribu kumtoka Beki wa Azam Poly Sacks katika mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana leo viwanjani hapo.
Wachezaji wa timu hizo wakiwania mpira wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango wa Azam Poly Sacks akijaribu kuufuata mpira dhidi ya mchezo wao na Kivule Forest wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana leo viwanjani hapo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAANDAA JUKWAA LA WATEJA MKOANI MBEYA ZAIDI YA WATEJA 150 WASHIRIKI.
Tanzania – 18 Juni 2025 – Akiba Commercial Bank Plc (ACB) iliandaa mkutano Maalum wa Wateja jijini Mbeya lililowakutanisha zaidi ya wateja...
No comments:
Post a Comment