LORD EYES FC YATOANA JASHO NA MAGEREZA MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Thursday, June 13, 2019

LORD EYES FC YATOANA JASHO NA MAGEREZA MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP


Beki wa Lord Eyes, Ally Khalifa (kulia), akimchezea vibaya Mshambuliaji wa Magereza FC, John Magulambo wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu hizo zilitunishiana misuli na kutoka sare ya bila kufungana.
Mshambuliaji  wa timu ya Lord Eyes  FC  Budo Francis,  akijaribu kupiga shuti wakati wa mchezo wao na Magereza FC, katika Mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu hizo zilitunishiana misuli na kutoka sare ya bila kufungana kulia ni Mshambuliaji wa timu ya Magereza Danford Kessy.
Mshambuliaji wa Magereza FC Moses Godfrey, akimtoka Mchezaji wa Lord Eyes FC John Gisanta, wakati wa mchezo wao na Magereza FC, katika  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la DaresSalaam ambapo timu hizo zilitunishiana misuli na kutoka sare ya bila kufungana.
Mshambuliaji wa Magereza FC  John Magulambo, akijaribu kufanya mashambulizi, wakati wa mchezo wao na Lord Eyes FC, kwenye Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la DaresSalaam ambapo timu hizo zilitunishiana misuli na kutoka sare ya bila kufungana.

No comments:

Post a Comment

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAANDAA JUKWAA LA WATEJA MKOANI MBEYA ZAIDI YA WATEJA 150 WASHIRIKI.

Tanzania – 18 Juni 2025 – Akiba Commercial Bank Plc   (ACB) iliandaa mkutano Maalum wa Wateja jijini Mbeya lililowakutanisha zaidi ya wateja...

Pages