PROPHET SUGUYE CUP MAMBO NI MOTO - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Monday, June 3, 2019

PROPHET SUGUYE CUP MAMBO NI MOTO


Beki wa Kulia wa Timu ya Texas FC Ally Bakari (mwenye mpira), akiwakabili washambuliaji wa Bodaboda Fc wakati wa mchezo wa  Ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo Texas iliibuka na ushindi wa 1-0 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo leo. Picha na Brian Peter
Mshambuliaji Timu ya Texas FC Pascal George, akipiga tiktaka wakati wa mchezo wa  Ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo timu hiyo ilikuwa ikichuana na Bodaboda Fc, ambapo katika mchezo huo Texas iliibuka na ushindi wa 1-0 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo leo. Picha na Brian Peter
Golikipa wa timu ya   Texas Fc Anyimike Malakimbugi, akiokoa moja ya shambulizi yaliyofanywa na timu ya Bodaboda Fc wakati wa mchezo wa  Ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule ambapo katika mchezo huo Texas iliibuka na ushindi wa 1-0 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo leo. Picha na Brian Peter
Mshambuliaji machachali wa timu ya Texas Fc Rajabu Housen, akitaka kujaribu kumtoka mchezaji wa Bodaboda Fc wakati wa mchezo wa  Ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule ambapo katika mchezo huo Texas iliibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Bodaboda Fc mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo leo. Picha na Brian Peter
Beki wa Kulia wa Timu ya Texas FC Ally Bakari (mwenyempira), akijaribu kumtoka mshambuliaji wa Bodaboda Fc Samson Anesmo, wakati wa mchezo wa  Ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanjavya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya DaresSalaam ambapo katika mchezo huo Texas iliibuka na ushindi wa 1-0 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo leo.Picha na Brian Peter
Mchezaji wa Texas Fc Emanuel John akiwania mpira wakati wa mchezo wa  Ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya DaresSalaam ambapo katika mchezo huo Texas iliibuka na ushindi wa 1-0 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo leo. Picha na Brian Peter
 Kikosi cha timu ya Bodaboda FC
 Kikosi cha timu ya Texas FC

No comments:

Post a Comment

Portwest Deepens East African Footprint with Apparel Manufacturing Investment in TanzaniaDar es Salaam, Tanzania

The Deputy Minister for Industry and Trade, Hon. Denis Londo (center), cuts the ribbon to mark the official opening of Afriport’s occupation...

Pages