Absa Tanzania yaunga mkono juhudi za serikali mapambano dhidi ya Covid-19 - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Tuesday, May 5, 2020

Absa Tanzania yaunga mkono juhudi za serikali mapambano dhidi ya Covid-19

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, (katikati), akimshukuru Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utumishi wa Benki ya Absa Tanzania, Patrick Foya (kushoto), baada ya kupokea msaada wa vifaa tiba kwa ajili ya kuisaidia serikali katika kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayotokana na virusi vya Corona (Covid-19) kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Prof. Mabula Daudi Mchembe. Vifaa hivyo vikiwemo barakoa, vitakasa mikono na gloves vyenye thamani ya shs milioni 20 vimekabidhiwa katika ofisi za wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Rasilimali watu na Utumishi wa Benki ya Absa Tanzania Patrick Foya (kushoto), akizungumza katika hafla ya kukabidhi msaada wa vifaa tiba kusaidia juhudi za serikali katika kupambana na ugonjwa wa corona (Covid-19), kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya. Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (katikati) kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Mabula Daudi Mchembe. Vifaa hivyo vikiwemo barakoa, vitakasa mikono na gloves vyenye thamani ya shs milioni 20 vimekabidhiwa katika ofisi za wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya. Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, akizungumza wakati akipokea vifaa tiba kutoka kwa Mkurugenzi wa Rasiliamali Watu na Utumishi wa Benki ya Absa Tanzania, Patrick Foya (kushoto) ikiwa ni mchango wa benki hiyo katika kusaidia juhudi za serikali katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19). Vifaa hivyo vikiwemo barakoa, vitakasa mikono na gloves vyenye thamani ya shs milioni 20 vimekabidhiwa katika ofisi za wizara, Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment

SERIKALI YASISITIZA UTAALAMU NA UBUNIFU KATIKA UNUNUZI NA UGAVI

Serikali imewataka wataalam wa ununuzi na ugavi nchini kuongeza ubunifu, uongozi bora na matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuongeza ufani...

Pages