WILAYA YA UBUNGO YAFANYA KWELI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Saturday, June 20, 2020

WILAYA YA UBUNGO YAFANYA KWELI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic akitoa maelezo kwa viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Wilaya Hiyo Mhe.Kisare Makori pamoja na Mwenyekiti wa CCM  wa wilaya hiyo Lucas Mgonja na wengine wengi wakati walipofanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ikiwemo   majengo yanayojengwa soko kwaajili ya wafanya biashara ndogondogo (machinga), ambapo ujenzi huo utakapo kamilika utagharimu kiasi cha shilingi milioni 480 za kitanzania.
Mkuu wa Wilaya Wilaya ya Ubungo Mhe.Kisare Makori (katikati), akizungumza na Viongozi mbalimbali kutoka Chama Tawala cha CCM wakati alipofanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali katika wilaya hiyo.
Mwenyekiti wa CCM  Wilaya ya Ubungo Lucas Mgonja akizungumza wakati wa ziara hiyo

Mmoja ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM  Wilaya ya Ubungo akichomea wakati wa ziara ya Kamati ya Siasa wilayani humo kukagua mradi wa ujenzi wa soko la kisasa la wafanya biashara  ambapo ujenzi huo utakaotumia shilingi milioni 480 za kitanzania 
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic (kushoto), akipata maelezo kutoka kwa Meneja Mradi wa Ujenzi wa Soko la wafanya biashara ndogondogo, Nuru Liyau, ambapo ujenzi huo utakapo kamilika utagharimu kiasi cha shilingi milioni 480 za kitanzania Picha zote na Brian Peter

No comments:

Post a Comment

Absa Bank Tanzania concludes Spend & Win campaign with great success, third Subaru Forester winner applauds service excellence

The final winner of Absa Bank Tanzania's three-month Spend & Win campaign, Ms. Amalia Lui Shio (center), receives the ignition key t...

Pages