RAIS SAMIA AMPOKEA MGENI WAKE RAIS WA UGANDA ALIYEWASILI LEO KUANZA ZIARA YA KISERIKALI YA SIKU TATU - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Saturday, November 27, 2021

RAIS SAMIA AMPOKEA MGENI WAKE RAIS WA UGANDA ALIYEWASILI LEO KUANZA ZIARA YA KISERIKALI YA SIKU TATU

 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni akimtambulisha ujumbe aliofuatana nao mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 kwa ajili ya ziara ya Kitaifa ya siku tatu hapa nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakisalimiana na Wasanii wa vikundi vya ngoma mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 kwa ajili ya ziara ya Kitaifa ya siku tatu hapa nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 kwa ajili ya ziara ya Kitaifa ya siku tatu hapa nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakati nyimbo za mataifa mawili (Tanzania &Uganda na ule wa Afrika Mashariki) zikipigwa katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 mara baada ya Rais wa Uganda Mhe. Museveni kuwasili nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 kwa ajili ya ziara ya Kitaifa ya siku tatu hapa nchini.
Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, akikagua Gwaride la JWTZ nara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 mara baada ya Rais wa Uganda Mhe. Museveni kuwasili nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na mgeni wake Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakati alipowasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Novemba 2021 mara baada ya Rais wa Uganda Mhe. Museveni kuwasili nchini.

No comments:

Post a Comment

Absa Dar City Marathon 2024 donates hospital equipment to Mnazi Mmoja Hospital

Absa Bank Tanzania Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga hands over a part of hospital equipment to Mnazi Mmoja Hospital...

Pages