BENKI YA ABSA TANZANIA YAJA NA MIKAKATI KUWANUFAISHA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA KATI KIUCHUMI - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Thursday, June 16, 2022

BENKI YA ABSA TANZANIA YAJA NA MIKAKATI KUWANUFAISHA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA KATI KIUCHUMI

  
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Kennedy Nyoni (katikati), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed (Kulia), Mkurugenzi wa Biashara wa Absa, Mervin Saprapasen na Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Ushiriki wa Watanzania kwenye Miradi ya Kimkakati wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji wananchi Kiuchumi (NEEC), Neema Mwakatobe wakibonyeza kitufe kuzindua kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) wa Benki ya Absa, uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Kennedy Nyoni (wa pili kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed (Kulia), Mkurugenzi wa Biashara wa benki hiyo, Mervin Saprapasen na Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Ushiriki wa Watanzania kwenye Miradi ya Kimkakati wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji wananchi Kiuchumi (NEEC), Neema Mwakatobe wakimsikiliza Meneja Huduma za Jamii wa Absa, Hellen Siria wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Ndabu Lillian Swere (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Biashara wa benki hiyo, Mervin Saprapasen (katikati) na Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Frank Nyabundege wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Kennedy Nyoni (katikati) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed (Kulia) na Mkurugenzi wa Biashara wa benki hiyo, Mervin Saprapasen wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Kennedy Nyoni akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) wa Benki ya Absa Tanzania.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Pass Leasing, Killo Lussewa akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) wa Benki ya Absa Tanzania uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya maofisa wa benki ya Absa wakishiriki uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) wa benki hiyo pamoja na waalikwa wengine jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Kennedy Nyoni akipiga picha ya kumbukumbu na Wakurugenzi pamoja na baadhi ya wakuu wa idara za Benki ya Absa baada ya uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) wa Benki ya Absa Tanzania uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment

Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance Yaadhimisha Miaka Minne ya Mafanikio katika Kuwawezesha Wanawake na Kubadilisha Jamii

Mkurugenzi Mtendaji wa  Benki ya Absa  Tanzania, Bw.  Obedi Laiser  (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,...

Pages