BENKI YA ABSA TANZANIA YAJA NA MIKAKATI KUWANUFAISHA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA KATI KIUCHUMI - Business Insights

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +715765454 email: mgongo@gmail.com

Breaking

Thursday, June 16, 2022

BENKI YA ABSA TANZANIA YAJA NA MIKAKATI KUWANUFAISHA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA KATI KIUCHUMI

  
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Kennedy Nyoni (katikati), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed (Kulia), Mkurugenzi wa Biashara wa Absa, Mervin Saprapasen na Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Ushiriki wa Watanzania kwenye Miradi ya Kimkakati wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji wananchi Kiuchumi (NEEC), Neema Mwakatobe wakibonyeza kitufe kuzindua kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) wa Benki ya Absa, uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Kennedy Nyoni (wa pili kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed (Kulia), Mkurugenzi wa Biashara wa benki hiyo, Mervin Saprapasen na Mkurugenzi wa Uwezeshaji na Ushiriki wa Watanzania kwenye Miradi ya Kimkakati wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji wananchi Kiuchumi (NEEC), Neema Mwakatobe wakimsikiliza Meneja Huduma za Jamii wa Absa, Hellen Siria wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Ndabu Lillian Swere (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Biashara wa benki hiyo, Mervin Saprapasen (katikati) na Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Frank Nyabundege wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Kennedy Nyoni (katikati) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed (Kulia) na Mkurugenzi wa Biashara wa benki hiyo, Mervin Saprapasen wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Kennedy Nyoni akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) wa Benki ya Absa Tanzania.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Pass Leasing, Killo Lussewa akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) wa Benki ya Absa Tanzania uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya maofisa wa benki ya Absa wakishiriki uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) wa benki hiyo pamoja na waalikwa wengine jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Kennedy Nyoni akipiga picha ya kumbukumbu na Wakurugenzi pamoja na baadhi ya wakuu wa idara za Benki ya Absa baada ya uzinduzi wa kampeni ya uboreshaji wa huduma za kibenki kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME) wa Benki ya Absa Tanzania uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment

ABSA BANK AND TCB STRENGTHEN STRATEGIC PARTNERSHIP RELATIONS

Absa Bank Tanzania Managing Director, Mr. Obedi Laiser (left), greets Tanzania Commercial Bank Managing Director, Mr. Adam Mihayo, shortly a...

Pages