Absa yazindua kadi ya malipo ya visa kwa wafanyabiashara - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Wednesday, August 24, 2022

Absa yazindua kadi ya malipo ya visa kwa wafanyabiashara

 
Mkuu Wa Kitengo cha wateja Binafsi wa Benki ya Absa, Bi. Ndabu Lilian Swere (katikati), Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano, Aron Luhanga (kushoto) na Meneja wa Bidhaa za Wateja Binafsi wa benki hiyo, Bi. Elfrida Mruma wakionyesha kadi mpya ya malipo ya Visa kwa wafanyabiashara ya benki ya Absa baada ya kuizindua jijini Dar es Salaam Leo.
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga (kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi wa kadi ya malipo ya Visa kwa wafanyabiashara ya benki ya Absa jijini Dar es Salaam Leo. Kushoto kwake ni Mkuu Wa Kitengo cha wateja Binafsi wa benki hiyo, Ndabu Lilian Swere na Meneja wa Bidhaa za Wateja Binafsi wa Absa, Elfrida Mruma.
Mkuu Wa Kitengo cha wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Lilian Swere (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa kadi ya malipo ya Visa kwa wafanyabiashara ya benki ya Absa. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa, Aron Luhanga na Meneja wa Bidhaa za Wateja Binafsi wa benki hiyo, Elfrida Mruma.
Meneja wa Bidhaa za Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Elfrida Mruma (kulia) akizungumza wakati wa uzinduzi wa kadi ya malipo ya Visa kwa wafanyabiashara ya benki ya Absa jijini Dar es Salaam leo. Kulia kwake ni Mkuu Wa Kitengo cha wateja Binafsi wa Benki ya Absa, Bi. Ndabu Lilian Swere na Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo, Aron Luhanga.

No comments:

Post a Comment

KAMPUNI YA GAS ORYX YAENDELEA KUTOA MSAADA WAMITUNGI YA GAS KUTOKOMEZA MATUMIZI YA KUNI NA MKAA

  KAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wamekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx 50 kwa wauguzi katika Hospitali y...

Pages