GRACA MACHEL AFUNGA MKUTANO WA MAENDELEO KWA WANAWAKE, KIUCHUMI NA JAMII (WOMEN ADVANCE IN AFRICA) - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Saturday, August 12, 2017

GRACA MACHEL AFUNGA MKUTANO WA MAENDELEO KWA WANAWAKE, KIUCHUMI NA JAMII (WOMEN ADVANCE IN AFRICA)



 

Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Machel akihutubia wakati wa kufunga Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii (Women Advance in Africa) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam kwa takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika.

Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Machel akihutubia wakati wa kufunga Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii (Women Advance in Africa) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam kwa takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika.

Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca Machel akiteta jambo na Waziri Mkuu wa Zamani Nchini, Jaji Joseph Sinde Warioba kabla ya kufunga Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii (Women Advance in Africa) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam kwa takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika.

Baadhi ya Wanawake kutoka nchi Mbalimbali Walioshiriki Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii (Women Advance in Africa) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam kwa takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika.

Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba akizungumza jambo na Mwanaharakati wa siku nyingi Getrude Mongela wakati wa Kufunga Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii (Women Advance in Africa) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam kwa takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika.

Baadhi ya Wanawake kutoka nchi Mbalimbali Walioshiriki Mkutano wa Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii (Women Advance in Africa) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam kwa takribani siku tatu na kuwakutanisha Wanawake kutoka kila pembe ya Afrika.

No comments:

Post a Comment

ABSA BANK TANZANIA REAFFIRMS COMMITMENT TO SUPPORTING TANZANIA’S HEALTH SECTOR

Absa Bank Tanzania Managing Director, Obedi Laiser (right), competes alongside other participants during the 10-kilometre race of the 2026 A...

Pages