Monday, August 14, 2017
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa serikali leo Mkoani
Tabora kabla ya kuondoka kwaajili ya kurejea Dodoma baada ya kumaliza ziara
yake mkoani humo.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Kassim Majaliwa akiagana na Mbunge wa Manonga Seif Khamis Gulamali
katika Viwanja vya Ndege vya Tabora tayari kwa safari ya kurudi Mkoani Dodoma
kikazi. (Picha na Raymond Urio)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance Yaadhimisha Miaka Minne ya Mafanikio katika Kuwawezesha Wanawake na Kubadilisha Jamii
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,...


No comments:
Post a Comment