WAZIRI MKUU ZIARANI TABORA - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Monday, August 14, 2017

WAZIRI MKUU ZIARANI TABORA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa serikali leo Mkoani Tabora kabla ya kuondoka kwaajili ya kurejea Dodoma baada ya kumaliza ziara yake mkoani humo. 


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akiagana na Mbunge wa Manonga Seif Khamis Gulamali katika Viwanja vya Ndege vya Tabora tayari kwa safari ya kurudi Mkoani Dodoma kikazi. (Picha na Raymond Urio)

No comments:

Post a Comment

Airtel Money na TCDC Waingia Ubia Kuboresha Sekta ya Kilimo Kidijitali

   Mkurugenzi wa Airtel Money, Bw. Andrew Rugamba (wa pili kushoto), akisaini makubaliano (MoU) na Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maende...

Pages