Monday, August 14, 2017
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa serikali leo Mkoani
Tabora kabla ya kuondoka kwaajili ya kurejea Dodoma baada ya kumaliza ziara
yake mkoani humo.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Kassim Majaliwa akiagana na Mbunge wa Manonga Seif Khamis Gulamali
katika Viwanja vya Ndege vya Tabora tayari kwa safari ya kurudi Mkoani Dodoma
kikazi. (Picha na Raymond Urio)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ABSA BANK TANZANIA REAFFIRMS COMMITMENT TO SUPPORTING TANZANIA’S HEALTH SECTOR
Absa Bank Tanzania Managing Director, Obedi Laiser (right), competes alongside other participants during the 10-kilometre race of the 2026 A...


No comments:
Post a Comment