Sherehe za Siku ya Wanafamilia wa Tanga Cement zafana - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Tuesday, October 24, 2017

Sherehe za Siku ya Wanafamilia wa Tanga Cement zafana


Baadhi ya wafanyakazi na wanafamilia wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), wakiwavuta wenzao  ili kumpata mshindi  katika mchezo wa kuvuta kamba katika sherehe za Siku ya Wanafamilia wa kampuni hiyo katika Uwanja wa Mkwawani mjini Tanga hivi karibuni.


Mtifuano wa kutafuta mshindi katika mchezo wa kuvuta kamba ukiendelea.


Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Saruji Tanga wakishangilia baada ya kukabidhiwa keki maalumu ya kusherehekea siku ya wanafamilia wa kampuni hiyo katika Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.


Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Diana Malambugi (kushoto), akishikana mikono na mmoja wa wanafamilia wa Tanga Cement.


Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Diana Malambugi (kushoto), akikabidhi zawadi kwa baadhi ya wafanyakazi na familia zao waliohudhuria sherehe hizo.


Meneja Mahusiano na Mawasiliano ya Nje wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Mtanga Noor (kushoto), akizungumza na wafanyakazi na wanafamilia wa kampuni hiyo katika sherehe za Siku ya Wanafamilia wa kampuni hiyo katika Uwanja wa Mkwawani mjini Tanga.


Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Diana Malambugi (kushoto), akizungumza na wafanyakazi na wanafamilia wa kampuni hiyo katika sherehe za Siku ya Wanafamilia wa kampuni hiyo katika Uwanja wa Mkwawani mjini Tanga 

No comments:

Post a Comment

KAMPUNI YA GAS ORYX YAENDELEA KUTOA MSAADA WAMITUNGI YA GAS KUTOKOMEZA MATUMIZI YA KUNI NA MKAA

  KAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wamekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx 50 kwa wauguzi katika Hospitali y...

Pages