Vijana wachangamkia fursa kupitia Program ya Wajibika ya Benki ya NBC - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Thursday, December 21, 2017

Vijana wachangamkia fursa kupitia Program ya Wajibika ya Benki ya NBC

Mmoja ya waratibu wa programu ya  Wajibika ya Benki ya NBC, Michael Mwangoka (kushoto), akizungumza na baadhi ya vijana na wanafunzi katika viwanja Leaders, Dar es Salaam juzi kuhusu  Programu ya Wajibika yenye lengo la kuwaandaa vijana na wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na binafsi.

Mmoja ya  waratibu wa programu ya  Wajibika ya Benki ya NBC, Debora Maboya (kulia), akizungumza na baadhi ya vijana katika viwanja Escape One, jijini Dar es Salaam kuhusu  Programu ya Wajibika yenye lengo la kuwaandaa vijana na wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na binafsi.

Mmoja ya waratibu wa programu ya  Wajibika ya Benki ya NBC, Michael Mwangoka (kulia), akizungumza na baadhi ya vijana katika viwanja Leaders, Dar es Salaam kuhusu  Programu ya Wajibika. Program ya Wajibika ya NBC yenye lengo la kuwawezesha vijana wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na binafsi ilizinduliwa Julai 8 mwaka jana.
Mmoja ya waratibu wa programu ya  Wajibika ya Benki ya NBC, Imani Sinkonde (kushoto), akitoa maelezo jinsi ya kujiunga kwa njia ya mtandao na program ya Wajibika ya Benki ya NBC kupitia tovuti ya benki hiyo kwa baadhi ya vijana katika viwanja vya Escape One, Dar es Salaam. Programu ya Wajibika ina lengo la kuwaandaa vijana na wahitimu wa vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu kuingia katika soko la ajira rasmi na binafsi.

No comments:

Post a Comment

Benki ya Absa Tanzania Yazindua huduma ya mikopo isiyo na dhamana ili kukuza biashara za wafanyabiashara wadogo na wa kati

  Benki ya Absa Tanzania Yazindua huduma ya mikopo isiyo na dhamana ili kukuza biashara za wafanyabiashara wadogo na wa kati Benki ya Absa T...

Pages