Tuesday, January 30, 2018

Zawadi Kem Kem zatolewa katika Promosheni ya Jero Yako ya Zantel
Meneja Masoko wa Zantel, Bi. Rukia Mtingwa (kulia) akikabidhi zawadi ya simu ya kisasa aina ya Moto C 4G toka Zantel kwa Bwana Moiz Johar Hussein Hassanali mmoja wa washindi wa wiki wa promosheni ya ‘Jero yako tu’ ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam ambayo mteja wa Zantel akiongeza muda wa maongezi kuanzia shs mia tano hujipatia nafasi kushiriki. Zawadi za pikipiki, baiskeli, simu na pesa taslimu hutolewa kila wiki.
Meneja Masoko wa Zantel, Bi. Rukia Mtingwa akizungumza katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni mshindi huyo Bwana Moiz Johar Hussein Hassanali.
Meneja Masoko wa Zantel, Bi. Rukia Mtingwa (kulia) akipiga simu kwa kwa simu na mmoja wa washindi wa promosheni ya Jero yako ya Zantel huku mwakilishi wa Bodi ya Michezo ya Kuabahatisha Jehud Ngolo (kushoto) akisikiliza pamoja na mfanyakazi mwingine wa Zantel katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Zantel mjini Zanzibar, Mohammed Mussa Baucha (kulia), akikabidhi zawadi ya simu kwa Taimur Mohamed Hussein mmoja wa washindi wa promosheni ya Jero yako, kisiwani humo juzi.
Tags
# BUSINESS
Share This
Newer Article
Wakazi wa jiji la Dar es Salaam, watakiwa kujenga mazoea ya kunawa mikono.
Older Article
WANANCHI WENYE MATATIZO YA KUDHURUMIWA MALI ZAO WATINGA KWA RC MAKONDA
WADAU ZAIDI YA 500 KUSHIRIKI WIKI YA AZAKI 2025 MWEZI JULAI ARUSHA
Hassani MakeroApr 11, 2025ABSA YAZINDUA MKOPO MPYA WA MALI ZA KIBIASHARA,SERIKALI YAPONGEZA JITIHADA
Hassani MakeroApr 04, 2025Taasisi za Ulinzi wa Mlaji zimetakiwa kushirikiana na FCC
Hassani MakeroMar 21, 2025
Labels:
BUSINESS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Meneja Masoko wa Zantel, Bi. Rukia Mtingwa (kulia) akikabidhi zawadi ya simu ya kisasa aina ya Moto C 4G toka Zantel kwa Bwana Moiz Johar Hussein Hassanali mmoja wa washindi wa wiki wa promosheni ya ‘Jero yako tu’ ya kampuni hiyo jijini Dar es...
No comments:
Post a Comment