Thursday, February 15, 2018
Liverpool yafanya maangamizi huku CR7 akizidi kuwaliza wapinzani wake
“Mtoto yake nepi” Real Madrid wamedhihirisha msemo baada ya usiku wa leo kutoka nyuma kwa bao 1 kwa 0 mbele ya PSG na kisha kuumaliza mchezo huo kwa ushindi wa mabao 3 kwa 1.
Cristiano Ronaldo alikuwa shujaa wa Real Madrid baada ya kuweka kambani mabao mawili ambapo sasa nakuwa na mabao 116 na ni timu 19 tu katika Champions League ndio zimefunga mabao mengi zaidi yake.
Tags
# SPORTS AND ENTERTAINMENT
Share This
SPORTS AND ENTERTAINMENT
Labels:
SPORTS AND ENTERTAINMENT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance Yaadhimisha Miaka Minne ya Mafanikio katika Kuwawezesha Wanawake na Kubadilisha Jamii
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,...
No comments:
Post a Comment