Liverpool yafanya maangamizi huku CR7 akizidi kuwaliza wapinzani wake - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Thursday, February 15, 2018

Liverpool yafanya maangamizi huku CR7 akizidi kuwaliza wapinzani wake

“Mtoto yake nepi” Real Madrid wamedhihirisha msemo baada ya usiku wa leo kutoka nyuma kwa bao 1 kwa 0 mbele ya PSG na kisha kuumaliza mchezo huo kwa ushindi wa mabao 3 kwa 1.
Cristiano Ronaldo alikuwa shujaa wa Real Madrid baada ya kuweka kambani mabao mawili ambapo sasa nakuwa na mabao 116 na ni timu 19 tu katika Champions League ndio zimefunga mabao mengi zaidi yake.
Liverpool nao waliangusha kipigo cha mbwa mwizi kwa Fc Porto baada ya kuwapiga mkono(mabao 5) huku utatu wa Sadio Mane, Mohamed Salah na Roberto Firminho ukiendelea kuwa cancer kwa wapinzani.
Sadio Mane alifunga mabao 3 na kumfanya kuwa mchezaji wa 3 kwa Liverpool kufunga hattrick chini ya Jurgen Klopp baada ya hattrick za Divick Origi (Dec 2015) na ile ya Phillipe Coutinho(2007).

No comments:

Post a Comment

APeF Yazindua Mfuko wa Ziada Kupanua wigo wa uwekaji Akiba, Uwekezaji na Ulinzi

  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, (CMSA), CPA Nicodemus Mkama, akikabidhi waraka wa ofa kwa Kaimu Mwenyekiti ...

Pages