Thursday, February 15, 2018
Liverpool yafanya maangamizi huku CR7 akizidi kuwaliza wapinzani wake
“Mtoto yake nepi” Real Madrid wamedhihirisha msemo baada ya usiku wa leo kutoka nyuma kwa bao 1 kwa 0 mbele ya PSG na kisha kuumaliza mchezo huo kwa ushindi wa mabao 3 kwa 1.
Cristiano Ronaldo alikuwa shujaa wa Real Madrid baada ya kuweka kambani mabao mawili ambapo sasa nakuwa na mabao 116 na ni timu 19 tu katika Champions League ndio zimefunga mabao mengi zaidi yake.
Tags
# SPORTS AND ENTERTAINMENT
Share This
SPORTS AND ENTERTAINMENT
Labels:
SPORTS AND ENTERTAINMENT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ABSA BANK TANZANIA SEES GLOBAL VOLATILITY AS A CATALYST FOR TANZANIAN COMPETITIVE ADVANTAGE
Corporate Banking Director at Absa Bank Tanzania, Ms. Nellyana Mmanyi, addresses participants during a meeting organized for senior business...
No comments:
Post a Comment