Liverpool yafanya maangamizi huku CR7 akizidi kuwaliza wapinzani wake - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Thursday, February 15, 2018

Liverpool yafanya maangamizi huku CR7 akizidi kuwaliza wapinzani wake

“Mtoto yake nepi” Real Madrid wamedhihirisha msemo baada ya usiku wa leo kutoka nyuma kwa bao 1 kwa 0 mbele ya PSG na kisha kuumaliza mchezo huo kwa ushindi wa mabao 3 kwa 1.
Cristiano Ronaldo alikuwa shujaa wa Real Madrid baada ya kuweka kambani mabao mawili ambapo sasa nakuwa na mabao 116 na ni timu 19 tu katika Champions League ndio zimefunga mabao mengi zaidi yake.
Liverpool nao waliangusha kipigo cha mbwa mwizi kwa Fc Porto baada ya kuwapiga mkono(mabao 5) huku utatu wa Sadio Mane, Mohamed Salah na Roberto Firminho ukiendelea kuwa cancer kwa wapinzani.
Sadio Mane alifunga mabao 3 na kumfanya kuwa mchezaji wa 3 kwa Liverpool kufunga hattrick chini ya Jurgen Klopp baada ya hattrick za Divick Origi (Dec 2015) na ile ya Phillipe Coutinho(2007).

No comments:

Post a Comment

Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance Yaadhimisha Miaka Minne ya Mafanikio katika Kuwawezesha Wanawake na Kubadilisha Jamii

Mkurugenzi Mtendaji wa  Benki ya Absa  Tanzania, Bw.  Obedi Laiser  (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,...

Pages