RC MAKONDA AWEKEA MKAZO SWALA LA ELIMU - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Wednesday, February 21, 2018

RC MAKONDA AWEKEA MKAZO SWALA LA ELIMU


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akizungumza na wanainchi walimu pamoja na wanafunzi katika shule ya msingi Mbande iliyopo katika Halmashauri ya temeke nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam alipofanya ziara  ya kukagua mpango mkakati wa halmashahuri hiyo wa kutatua changamoto zilizopo katika shule za Msingi Mbande na maji matitu zenye wanafunzi wengi waliojitokeza kujiandikiasha na darasa la kwanza kwa mwaka 2018. (kushoto) ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke Felix Lyaniva  na kulia ni Diwani wa kata hiyo Hemmed Karata, pamoja na viongozi wengine wa kata hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Felix Lyaniva (kulia) akizungumza na wanainchi walimu pamoja na wanafunzi katika shule ya msingi Mbande iliyopo katika Halmashauri ya temeke nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye ziara ya Mkuu wa Mkoa alipofanya ziara  ya kukagua mpango mkakati wa halmashahuri hiyo wa kutatua changamoto zilizopo katika shule za Msingi Mbande na maji matitu zenye wanafunzi wengi waliojitokeza kujiandikiasha na darasa la kwanza kwa mwaka 2018.wa tatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa Paul Makonda kulia kwa Makonda ni Diwani wa kata ya Kirungule Saidi Fella na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo.
Kaimu Afisa Elimu Msingi Sylvia Mutasingwa, akitoa taarifa ya uandikishwaji wawanafunzi  wa darasa la kwanza mwaka 2018kwakuwa  imeonesha kuwa wilaya hiyo inaongoza kwakuwa na wanafuzi wengi katika shule ya msingi Mbande iliyopo katika Halmashauri ya temeke nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwenye ziara ya Mkuu wa Mkoa alipofanya ziara  ya kukagua mpango mkakati wa halmashahuri hiyo wa kutatua changamoto zilizopo katika shule za Msingi Mbande na maji matitu zenye wanafunzi wengi waliojitokeza kujiandikiasha na darasa la kwanza kwa mwaka 2018
Mkuu wa Mkoa akiwasili katika shule ya msingi Mbande akiongozana na baadhi ya viongozi mbalimbali alioambatana nao katika hafla hiyo
Baadhi ya wakazi wa Mbande pamoja na wanachama wa Chama Chamapinduzi walijitokeza katika hafla hiyo
Wanafunzi wa darasa la kwanza wakiwa katika hafla hiyohiyo
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akiwaaga wanafunzi wa shule ya msingi Maji Matitu iliyopo mbagala



No comments:

Post a Comment

APeF Yazindua Mfuko wa Ziada Kupanua wigo wa uwekaji Akiba, Uwekezaji na Ulinzi

  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, (CMSA), CPA Nicodemus Mkama, akikabidhi waraka wa ofa kwa Kaimu Mwenyekiti ...

Pages