BALOZI WA KUWAIT NCHINI AKABIDHI MASHINE ZA WATOTO NJITI KWA TAASISI YA DORIS MOLLEL - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Friday, March 16, 2018

BALOZI WA KUWAIT NCHINI AKABIDHI MASHINE ZA WATOTO NJITI KWA TAASISI YA DORIS MOLLEL

Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jassim Al-Najim (kushoto) akikabidhi mashine maalum za kuwasaidia Watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti), kwa Muanzilishi wa Taasisi ya Doris Mollel na Balozi wa Watoto Njiti, Doris Mollel ambazo zimetolewa na Ubalozi huo jana jijini Dar es salaam. Wengine pichani ni Rahma Amoud na Maryam Gerion wote kutoka Taasisi ya Doris Mollel.

Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jassim Al-Najim akiwa katika mazungumzo na Ujumbe kutoka Taasisi ya Doris Mollel, uliomtembelea ofisini kwake, Jijini Dar es salaam jana.

No comments:

Post a Comment

Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance Yaadhimisha Miaka Minne ya Mafanikio katika Kuwawezesha Wanawake na Kubadilisha Jamii

Mkurugenzi Mtendaji wa  Benki ya Absa  Tanzania, Bw.  Obedi Laiser  (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,...

Pages