Friday, March 9, 2018
WAITARA AFANYA ZIARA YA USIKU KWA MKANDARASI WA DARAJA LA KIVULE MZINGA.
Mbunge
wa Jimbo la Ukonga,Mwita Waitara akiangalia maendeleo ya ujenzi wa daraja la
Kivule mzinga baada ya kuwasili maeneo hayo jana usiku.
Zoezi
la Unyonyaji maji yaliyotuama likiendelea
Mbunge
wa Jimbo la Ukonga,Mwita Waitara akizungumza na baadhi ya vibarua wanafanya
kazi ya ujenzi katika daraja hilo jana usiku.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance Yaadhimisha Miaka Minne ya Mafanikio katika Kuwawezesha Wanawake na Kubadilisha Jamii
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,...
No comments:
Post a Comment