BANDARI TANGA YAKABIDHI VITANDA 10 VYA KUJIFUNGULIA WAKINA MAMA WAJAWAZITO WILAYANI PANGANI - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Sunday, April 15, 2018

BANDARI TANGA YAKABIDHI VITANDA 10 VYA KUJIFUNGULIA WAKINA MAMA WAJAWAZITO WILAYANI PANGANI

Meneja wa Bandari ya Tanga,Percival Salama kushoto akimkabidhi vitanda 10 Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainabu Abdallah kwa ajili ya kujifungulia wakina mama wajawazito ambavyo vimetolewa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) ambavyo vinagharimu kiasi cha milioni 12.2 kushoto anayeshuhudia ni Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM)
Meneja wa Bandari ya Tanga,Percival Salama kushoto akimkabidhi vitanda 10 leo Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainabu Abdallah kwa ajili ya kujifungulia wakina mama wajawazito ambavyo vimetolewa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) ambavyo vinagharimu kiasi cha milioni 12.2 kushoto anayeshuhudia ni Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM)
Meneja wa Bandari ya Tanga,Percival Salama kushoto akimkabidhi vitanda 10 leo Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainabu Abdallah kwa ajili ya kujifungulia wakina mama wajawazito ambavyo vimetolewa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) ambavyo vinagharimu kiasi cha milioni 12.2 kulia anayeshuhudia ni Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Pangani,Daudi Mlahangwa
Meneja wa Bandari ya Tanga,Percival Salama kushoto akimpongezwa na Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso mara baada ya kukabidhi vitanda hivyo katika anayeshughudia ni Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainabu Issa.
Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainabu Issa katika akimkabidhi Vitanda 10 vilivyotolewa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini TPA kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Pangani,Daudi Mlahangwa kwa ajili ya wilaya ya Pangani kulia ni Meneja wa Bandari ya Tanga,Percival Salama akishughudia
Mganga mkuu wa wilaya ya Pangani (DMO) Juma Mfanga kulia akitolea vitanda 10 kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Pangani,Daudi Mlahangwa vilivyotolewa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA)
Meneja wa Bandari ya Tanga,Percival Salama kushoto akiteta jambo na Mkuu wilaya ya Pangani Zainabu Issa katikati ni Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso
Sehemu ya vitanda 10 vilivyotolewa na TPA



No comments:

Post a Comment

APeF Yazindua Mfuko wa Ziada Kupanua wigo wa uwekaji Akiba, Uwekezaji na Ulinzi

  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, (CMSA), CPA Nicodemus Mkama, akikabidhi waraka wa ofa kwa Kaimu Mwenyekiti ...

Pages