GSM KWA HILI MUNGU ANAWAONA - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Sunday, May 27, 2018

GSM KWA HILI MUNGU ANAWAONA

Kufuatia kauli iliyotolewa na serikali siku chache kabla ya mfungo wa ramadhani ya kutaka wafanya biashara wote nchini kutopandisha bei bidhaa kampuni GSM inatekeleza agizo kwa kutoa punguzo la bei kwa bidhaa zake katika maduka yake yote hapa nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es salaam, Meneja wa  GSM Pugu Mall, Simon Kais,  juu ya punguzo hilo kwa bidhaa zao zinazo patikana katika maduka yao amesema kuwa kutokana na wito uliotolewa na serikali wameamua kufuata maelekezo hayo ya kutopandisha bidhaa bei kwa msimu huu wa sikukuu

Aidha imetoa punguzo  hilo kwa wateja wake ikiwa ni sehemu ya kuwanufaisha wateja katika msimu huu wa sikukuu lengo nikutaka kila mtanzania ambae anakipato cha chini  aweze kutumia kilicho bora kulingana na kipato chake alisema Kais.
Upande wake Meneja Masoko wa Kampuni ya GSM Farida Rubanza, amesema katika ofa hiyo pia kutakuwa na Bando la Nguo ambalo litamnufaisha mteja kupata nguo mara mbili atakaponunua Nguo kuanzia elfu ishirini pia bei ni nafuu sana ukilinganisha na ubora wa bidhaa hizo.

Pia GSM wameandaa ubao maalum ambao Mteja ukienda pale anaweza kupika picha selfie ukapost kwenye mtandao wakijamii wa facebook au istagram ukipata like mia moja zinaweza zikakusababisha ukapata zawadi nono kuanzia laki moja nakuendelea kutaka GSM


No comments:

Post a Comment

APeF Yazindua Mfuko wa Ziada Kupanua wigo wa uwekaji Akiba, Uwekezaji na Ulinzi

  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, (CMSA), CPA Nicodemus Mkama, akikabidhi waraka wa ofa kwa Kaimu Mwenyekiti ...

Pages