Maendeleo benki imekuza mtaji wake Kwa asilimia 62 - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Thursday, June 7, 2018

Maendeleo benki imekuza mtaji wake Kwa asilimia 62

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo Ibrahim Mwangalaba (kulia), akizungumza na waandishi wa habari katika haflayakutangaza ongezeko la mtaji wa benki hiyo, hafla hiyo imefanyika jana jijini Dar es Salaam kushoto ni Mkuu wa Idara ya fedha wa benki hiyo Peter Tarimo.



Benki ya Maendeleo imeweza kukuza mtaji wake kwa asilimia 62 kutoka bilioni 4.50 mwaka 2013 hadi kufikia bilioni 7.30 sasa.

Akizungumza na waandishi  wa habari Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Bw.Ibrahim Mwangalaba, jijini Dar es salaam amesema kuwa ongezeko hilo limepatikana Kwa kipindi cha miaka mitano tangu kuanza Kwa benki hiyo.

Pia amefafanua kuwa lengo kubwa la maendeleo benki ni kifikia hadhi ya kuwa benki ya kitaifa na kudumisha utendaji bora wenye tija.

"hadi kufikia mwaka 2017 benki yetu imeweza kupata faida ya milioni 969 na tuna zaidi ya wateja 21,000 haya ni mafanikio makubwa Sana",alisema.


Aidha benki ya Maendeleo imeazimia kufanya mkutano mkuu wa 4 wa mwaka ifikapo Juni 23 mwaka huu kwenye ukumbi wa diamond jubilee jijini humo.

No comments:

Post a Comment

Absa Dar City Marathon 2024 donates hospital equipment to Mnazi Mmoja Hospital

Absa Bank Tanzania Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga hands over a part of hospital equipment to Mnazi Mmoja Hospital...

Pages