Thursday, March 28, 2019
Home
BUSINESS
Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa NBC
Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa NBC
Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa (kulia), akipeana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi alipomtembelea ofisini kwake akiwa pamoja na Meneja Mahusiano wa benki hiyo, William Kallaghe (kushoto), Dar es Salaam jana.
Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa (kulia), akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi pamoja na Meneja Mahusiano wa benki hiyo, William Kallaghe walipomtembelea ofisini kwake, Dar es Salaam jana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
DCB YAZINDUA KAMPENI YA "TUMA BURE, SHINDA KILA WIKI" KUVUTIA WATEJA WA HUDUMA ZA KIDIJITALI
DAR ES SALAAM: Benki ya DCB imezindua kampeni maalum ya miezi sita ijulikanayo kama " Tuma Bure, Shinda Kila Wiki ", inayolenga...


No comments:
Post a Comment