Benki ya NBC yatoa msaada wa madawa na vifaa tiba kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Thursday, October 10, 2019

Benki ya NBC yatoa msaada wa madawa na vifaa tiba kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro

Meneja Uendeshaji wa Benki ya NBC Tawi la Morogoro, Joceline Msuya (wa tatu kushoto) akizungumza wakati akikabidhi msaada wa madawa na vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 9 kusaidia hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro pamoja na nyingine zenye uhitaji vilivyotolewa na NBC ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuisaidia jamii za benki hiyo zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali nchini. Makabidhiano hayo yalifanyika Hospitalini hapo Mkoani Morogoro jana. Kushoto kwake ni Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, Dk. Francis Semwene. Hospitali huyo hukabiliwa na mzigo mkubwa wa kuhudumia wagonjwa wa matukio ya ajali mara kwa mara. Madawa hayo yamenunuliwa kutoka Bohari Kuu la Madawa Nchini (MSD).

Meneja Uendeshaji wa Benki ya NBC Tawi la Morogoro, Joceline Msuya (wa tatu kulia), akishikana mikono na Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, Dk. Francis Semwene wakati akimkabidhi msaada wa Madawa yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 9 kusaidia hospitali hiyo na nyingine zenye uhitaji vilivyotolewa na NBC ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuisaidia jamii za benki hiyo zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali nchini. Makabidhiano hayo yalifanyika Hospitalini hapo Mkoani Morogoro jana. Hospitali hiyo hukabiliwa na mzigo mkubwa wa kuhudumia wagonjwa wa matukio ya ajali mara kwa mara. Madawa hayo yamenunuliwa kutoka Bohari Kuu la Madawa Nchini (MSD).
Meneja Uendeshaji wa Benki ya NBC Tawi Morogoro, Joceline Msuya (wa nne kushoto), akimkabidhi Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, Dk. Francis Semwene msaada wa madawa na vifaa tiba vyenye thamani zaidi ya shilingi Milioni 9 kusaidia hospitali hiyo pamoja na nyingine zenye uhitaji vilivyotolewa na NBC ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuisaidia jamii za benki hiyo zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali nchini. Makabidhiano hayo yalifanyika hospitalini hapo, Morogoro jana. Hospitali hiyo hukabiliwa na mzigo wa kuhudumia wagonjwa wa matukio ya ajali mara kwa mara. Madawa hayo yamenunuliwa kutoka Bohari Kuu la Madawa Nchini (MSD).
Meneja Mahusiano wa Benki ya NBC Tawi la Morogoro, Grace Kapesa (wa nne kushoto), akimkabidhi Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, Dk. Francis Semwene msaada wa madawa na vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 9 kusaidia hospitali hiyo pamoja na nyingine zenye uhitaji vilivyotolewa na NBC ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuisaidia jamii za benki hiyo zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali nchini. Hospitali hiyo hukabiliwa na mzigo wa kuhudumia wagonjwa wa matukio ya ajali mara kwa mara. Madawa hayo yamenunuliwa kutoka Bohari Kuu la Madawa Nchini (MSD).

No comments:

Post a Comment

BENKI YA ABSA YAENDELEA KUWAWEZESHA WANAWAKE WAJASIRIMALI KIUCHUMI

Meneja Bidhaa wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Bryton Kimemeta (kushoto), akizungumza na baadhi ya wanawake wajasiriamali, wanachama wa Taasis...

Pages