Startimes Yatoa Msaada Kwa Watoto Wenye Matatizo Ya Moyo Muhimbili - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Wednesday, November 6, 2019

Startimes Yatoa Msaada Kwa Watoto Wenye Matatizo Ya Moyo Muhimbili


KAMPUNI ya Startimes kupitia chapa yake ya StarTimes, wametembelea watoto wenye matatizo ya Moyo katika Taasisi ya Moyo Muhimbili na kutoa mfano wa Hundi ya shilingi Milion 4 kwaajili ya mahitaji yao mbalimbali ikiwamo matibabu.

Startimes imetambua umuhimu wa kuwachangia watoto hawa kwa kutambua kwamba wengi wao wanapitia changamoto mbalimbali ikiwemo, chakula, matibabu na hata mavazi, hivyo imeona ni vyema kushirikiana na msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz kuwafikia watoto hawa na kuwafariji.

Huu ni mpango ambao kampuni ya Startimes imejiwekea kila Mwaka katika kuhakikisha inaifikia jamii kwa namna moja au Nyingine..Alisema Bw.David Malisa Meneja Masoko wa Startimes.

Katika kuhakikisha Wasafi Festival inafanikiwa Startimes tumeshiriki katika kuwezesha tamasha hili kama mdhamini wa Tamasha.Aliongeza Bw.David Malisa

No comments:

Post a Comment

Benki ya Biashara DCB kuendelea kuboresha Maisha ya Watanzania

Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Bi. Zawadia Nanyaro (wa nne kulia) akishikana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Bias...

Pages