MAKAMU WA RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA AFYA WA NCHI ZA SADC - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Thursday, November 7, 2019

MAKAMU WA RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA AFYA WA NCHI ZA SADC

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergmena Tax  baada ya kufungua Mkutano wa siku tano kwa Mawaziri wa Sekta ya Afya na Ukimwi  kwa Nchi Kumi na Sita Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Unaojadili Mustakbali wa Masuala yote ya afya, Mikakati dhidi ya Ukimwi, kuangalia hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Itifaki ya Afya ya SADC ya Mwaka 1999,  Mpango Mkakati wa Kanda wa Masuala ya Afya na kuridhia kwa pamoja Maazimio mbalimbali yanayohusiana na  Afya kwa Nchi za SADC. Mkutano huo Umefunguliwa leo Novemba 07, 2019 katika Ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania Jijini Dar es salaam. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu alipowasili katika Ukumbi wa  Mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT CC) Jijini Dar es salaam leo Novemba 07, 2019 kwa ajili ya kufungua Mkutano wa siku tano kwa Mawaziri wa Sekta ya Afya na Ukimwi  kwa Nchi Kumi na Sita Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Unaojadili Mustakbali wa Masuala yote ya afya, Mikakati dhidi ya Ukimwi, kuangalia hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Itifaki ya Afya ya SADC ya Mwaka 1999,  Mpango Mkakati wa Kanda wa Masuala ya Afya na kuridhia kwa pamoja Maazimio mbalimbali yanayohusiana na Afya kwa Nchi za SADC. Pichani kati ni Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergmena Tax.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan  (kushoto) akiwa ameambatana na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergmena Tax  (kulia)  pamoja na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu wakati akiondoka baada ya kufungua Mkutano wa siku tano kwa Mawaziri wa Sekta ya Afya na Ukimwi  kwa Nchi Kumi na Sita Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Unaojadili Mustakbali wa Masuala yote ya afya, Mikakati dhidi ya Ukimwi, kuangalia hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Itifaki ya Afya ya SADC ya Mwaka 1999, Mpango Mkakati wa Kanda wa Masuala ya Afya na kuridhia kwa pamoja Maazimio mbalimbali yanayohusiana na  Afya kwa Nchi za SADC. Mkutano huo Umefunguliwa leo Novemba 07, 2019 katika Ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania Jijini Dar es salaam. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano wa siku tano kwa Mawaziri wa Sekta ya Afya na Ukimwi wa Nchi kumi na Sita Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Unaojadili Mustakabali wa Masuala yote ya Afya, Mikakati dhidi ya Ukimwi, kuangalia hatua iliyofikiwa Katika Utekelezaji wa Itifaki ya Afya ya Mwaka 1999, Mpango Mkakati wa Kanda wa Masuala ya Afya na kuridhia kwa pamoja maadhimio mbalimbali yanayohusiana na Afya kwa Nchi za SADC. Mkutano huo umefunguliwa leo Novemba 07,2019 Katika ukumbi wa mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania Jijini Dar Es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano wa siku tano kwa Mawaziri wa Sekta ya Afya na Ukimwi  kwa Nchi Kumi na Sita Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Unaojadili Mustakbali wa Masuala yote ya afya, Mikakati dhidi ya Ukimwi, kuangalia hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Itifaki ya Afya ya SADC ya Mwaka 1999, Mpango Mkakati wa Kanda wa Masuala ya Afya na kuridhia kwa pamoja Maazimio mbalimbali yanayohusiana na  Afya kwa Nchi za SADC.  Mkutano huo Umefunguliwa leo Novemba 07,2019 katika Ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT CC) Jijini Dar es salaam. 



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Baadhi ya Wajumbe baada yakufungua Mkutano wa siku tano wa Mawaziri wa Sekta ya Afya na Ukimwi kwa Nchi Kumi na Sita Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Unaojadili Mustakbali wa Masuala yote ya afya,  Mikakati dhidi ya Ukimwi, kuangalia hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Itifaki ya Afya ya SADC ya Mwaka 1999,  Mpango Mkakati wa Kanda wa Masuala ya Afya na kuridhia kwa pamoja Maazimio mbalimbali yanayohusiana na  Afya kwa Nchi za SADC. Mkutano huo Umefunguliwa leo Novemba 07, 2019 katika Ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania Jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Benki ya Biashara DCB kuendelea kuboresha Maisha ya Watanzania

Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Bi. Zawadia Nanyaro (wa nne kulia) akishikana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Bias...

Pages