MJASILIAMALI ELIZABETH JACKSON AINGIA KWENYE MTANANGE WA KUSAKA UBUNGE JIMBO LA UBUNGO - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Wednesday, July 15, 2020

MJASILIAMALI ELIZABETH JACKSON AINGIA KWENYE MTANANGE WA KUSAKA UBUNGE JIMBO LA UBUNGO

Katibu wa CCM Wilaya ya Ubungo Chifu Sylvester Yaredi, leo jumatano julai 15 akikabidhi fomu ya ya kuomba ridhaa ya Kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi kwa Elizabeth Jackson.

BINTI MDOGO NA MJASILIAMALI 'Elizabeth Jackson' leo 15 Julai, 2020 amechukua fomu ya kutia nia ya kugombea Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM.

Elizabeth amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Ubungo, Chifu Sylvester na kusema amechukua uwamuzi wakuchukua fomu ya Ubunge katika jimbo la Ubungo ili kuunga mkono juhudi za Rais wetu John Pombe Magufuli nakuleta maendeleo katika kuijenga Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Benki ya Biashara DCB kuendelea kuboresha Maisha ya Watanzania

Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Bi. Zawadia Nanyaro (wa nne kulia) akishikana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Bias...

Pages