MIAKA 40 YA MAASKOFU NA MAPADRE YAAZIMISHWA BUNGENI - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Thursday, August 20, 2020

MIAKA 40 YA MAASKOFU NA MAPADRE YAAZIMISHWA BUNGENI

Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akizungumza na Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao walipotembelea ofisi za Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya ziara ya mafunzo.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akifafanua jambo mbele ya Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao ndani ya ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma wakiwa katika ziara ya mafunzo.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (watatu kushoto) akiwa katika maombi maalum ya kuliombea Bunge yaliyotolewa na Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao nje ya ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akiongozana na Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao wakati wakiingia katika ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo.
Baadhi ya Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao wakimsikiliza Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (hayupo kwenye picha) wakati walipotembelea ofisi za Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya ziara ya mafunzo.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (watano kushoto mbele) akiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao nje ya ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Benki ya Biashara DCB kuendelea kuboresha Maisha ya Watanzania

Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Bi. Zawadia Nanyaro (wa nne kulia) akishikana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Bias...

Pages