WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UJENZI WA CHUO CHA VETA, CHUNYA - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Monday, November 29, 2021

demo-image

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UJENZI WA CHUO CHA VETA, CHUNYA

 PMO_4394.JPGAAAAAAAAA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha wilaya ya Chunya, Novemba 29, 2021. Kulia. ni Naibu Waziri wa Elimu , Sayansi na Tekinolojia, Omari Kipanga na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Pancras Bujulo.
PMO_4443.JPGAAAAAAAAAA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kuweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) wilaya ya Chunya.
PMO_4408.JPGAAAAAAAAAAAAA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Pancras Bujulo (wa pili kulia) kuhusu ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) wilaya ya Chunya baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Chuo hicho, Novemba 29, 2021. Kushoto ni Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Omari Kipanga na kulia ni Mkuu wa Chuo cha VETA cha Mpanda, Joshua Mategane.
PMO_4451.JPGAAAAAAAAAAA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Omari Kipanga (katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya VETA, Peter Maduki baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) wilaya ya Chunya, Novemba 29, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
8F39911D-155C-4A3F-91BF-0F98A198AA32
Muonekano wa Chuo cha Chuo cha Ufundi Stadi cha wilaya ya Chunya ambacho Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliweka jiwe la msingi.

No comments:

Post a Comment

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha wilaya ya Chunya, Novemba 29, 2021. Kulia. ni Naibu Waziri wa Elimu , Sayansi na Tekinolojia, Omari Kipanga na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Pancras B...

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *