RAIS MWINYI ATOA SADAKA YA FUTARI KWA WAZEE, YATIMA NA WANANCHI WENYE HALI NGUMU WILAYA YA KUSINI UNGUJA - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Saturday, April 23, 2022

RAIS MWINYI ATOA SADAKA YA FUTARI KWA WAZEE, YATIMA NA WANANCHI WENYE HALI NGUMU WILAYA YA KUSINI UNGUJA

 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Futari mmoja wa Mzee wa Mkoa wa Kusini Unguja Bi.Arabia Ali Kombo, wakati wa kukabidhi sadaka ya futari kwa Wazee, Yatima na Wananchi wenye hali ngumu, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Kibeshi Unguja Ukuu Wilaya ya Kusini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza mmoja wa Wazee wa Mkoa wa Kusini Unguja Bw.Mohammed Abdalla, akitowa neno la shukrani, wakati wa kutoa sadaka ya futari kwa Wazee, Yatima na Wananchi wenye hali ngumu, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Kibeshi Unguja Unguja Ukuu Wilaya ya Kusini Unguja, (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Rashid Hadidi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar.Mhe.Haroun Ali Suleiman.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja, baada ya kumaliza kutoa Sadaka ya Futari kwa Wazee, Yatima na Wananchi wenye hali ngumu, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Kibeshi Unguja Ukuu Wilaya ya Kusini Unguja.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance Yaadhimisha Miaka Minne ya Mafanikio katika Kuwawezesha Wanawake na Kubadilisha Jamii

Mkurugenzi Mtendaji wa  Benki ya Absa  Tanzania, Bw.  Obedi Laiser  (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,...

Pages