Benki ya Absa yazindua kwa mara ya kwanza huduma ya kutoa fedha kwenye ATM bila kadi - THINKING IN BUSINESS

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Tuesday, September 6, 2022

Benki ya Absa yazindua kwa mara ya kwanza huduma ya kutoa fedha kwenye ATM bila kadi

 

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo katika uzinduzi wa huduma ya kutoa fedha katika mashine ya ATM bila ya kuhitajika kuwa na kadi halisi kwa kutumia mfumo wa (QR Code). Pichani kutoka kushoto ni, Mkuu wa Kitengo cha Miradi, Irene Mushi, Mkuu wa Kitengo cha Digitali na Ubora wa Huduma kwa Wateja, Samuel Mkuyu na Meneja Huduma za Kidigitali, Adam Emmanuel.
Mkuu wa Kitengo cha Digitali na Ubora wa Huduma kwa Wateja, Samuel Mkuyu, akiskani alama maalumu (QR Code) ili kuweza kutoa pesa kwenye mashine ya ATM bila kutumia kadi halisi katika hafla ya uzinduzi wa huduma hiyo ya kwanza nchini jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Meneja Huduma za Kidigitali wa Absa, Adam Emmanuel.
Mkuu wa Kitengo cha Digitali na Ubora wa Huduma kwa Wateja, Samuel, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo katika uzinduzi wa huduma ya kutoa fedha katika mashine ya ATM bila ya kuhitajika kuwa na kadi halisi kwa kutumia mfumo wa (QR Code). Pichani kutoka kushoto ni, Mkuu wa Kitengo cha Miradi, Irene Mushi, Mkuyu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga na Meneja Huduma za Kidigitali, Adam Emmanuel.
Waandishi wa habari wakiwa kazini jijini Dar es Salaam leo katika uzinduzi wa huduma ya kutoa fedha katika mashine ya ATM bila ya kuhitajika kuwa na kadi halisi mfumo wa (QR Code) ikiwa ni huduma ya kwanza kuingia katika soko la huduma za kibenki nchini.

No comments:

Post a Comment

SERIKALI YASISITIZA UTAALAMU NA UBUNIFU KATIKA UNUNUZI NA UGAVI

Serikali imewataka wataalam wa ununuzi na ugavi nchini kuongeza ubunifu, uongozi bora na matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuongeza ufani...

Pages