Wednesday, September 7, 2022
Rais Samia Aongoza Kikao Cha Kamati Kuu Ya CCM Lumumba Jijini Dar Es Salaam
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichokutana Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichokutana Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2022.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Absa Dar City Marathon 2024 zatimua vumbi jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (kushoto), akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa mbio za nu...
No comments:
Post a Comment