DCB Elimu Mpango Mzima Na Mama Samia Yazidi Kupaa - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Wednesday, April 19, 2023

DCB Elimu Mpango Mzima Na Mama Samia Yazidi Kupaa

Ofisa Elimu Manispaa ya Temeke, Abdul Buhety (kushoto), akipokea msaada wa madawati 30 Kwa niaba ya Shule ya Msingi Sandali kutoka Kwa Kaimu Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya DCB, Ruth Mpangalala yaliyotolewa na benki hiyo, ikiwa ni ni sehemu ya kampeni ya kisaidia elimu ya DCB Elimu Mpango Mzima na Mama Samia.
Msimamizi wa Huduma za Wateja na Masoko wa Benki ya DCB, Elizabeth Ntulu (kulia), na Ofisa Mahusiano wa Benki hiyo, Dalila ISSA (kushoto), wakikabhi sehemu ya madawati 30 yaliyotolewa na DCB kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Sandali kupitia kampeni Yao ya DCB Elimu Mpango Mzima na Mama Samia, shuleni hapo
Mwenyekiti wa Kamati ya Wazazi wa Shule ya Msingi Sandali, Yohana Ndunguru (kushoto), akipokea msaada wa madawati 30 Kwa niaba ya shule hiyo kutoka Kwa Kaimu Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya DCB, Ruth Mpangalala.
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Sandali wakimpa mkono wa shukurani Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya DCB, Ruth Mpangalala baada ya kukabidhiwa msaada wa madawati.
Ofisa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya DCB, Caroline Gabriel (kulia) katika hafla ya makabidhiano ya msaada wa madawati 30 yaliyotolewa na DCB kwa Shule ya Msingi Sandali kupitia kampeni yao ya DCB Elimu Mpango Mzima na Mama Samia, shuleni hapo, Temeke, Dar es Salaam.
Mkuu wa Shule ya Msingi Sandali, Bakari Jaribu, akizungumza katika hafla hiyo. Wengine kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Biashara wa DCB, Ruth Mpangalala, Ofisa Elimu wa Manispaa ya Temeke, Abdul Buhety na Mwenyekiti wa Kamati ya Wazazi wa shule hiyo, Yohana Ndunguru.

No comments:

Post a Comment

Absa Dar City Marathon 2024 donates hospital equipment to Mnazi Mmoja Hospital

Absa Bank Tanzania Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga hands over a part of hospital equipment to Mnazi Mmoja Hospital...

Pages