Benki ya Absa yajitosa kuokoa maisha ya Watoto Njiti - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Tuesday, June 20, 2023

Benki ya Absa yajitosa kuokoa maisha ya Watoto Njiti

 
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia), akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Obedi Laiser katika hafla ya makabidhiano wa msaada wa vifaa vitakavyosaidia huduma za watoto wanaozaliwa kabla ya muda (Njiti) wakiwa hospitalini. Benki ya Absa imetoa ufadhili wa kiasi cha shs milioni 30 kwa taasisi ya Doris Mollel Kwa ajili hiyo. Kushoto ni Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Doris Mollel.
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, mhe. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akizunguza katika hafla ya makabidhiano wa msaada wa vifaa vitakavyosaidia huduma za watoto wanaozaliwa kabla ya muda (Njiti) wakiwa hospitalini. Benki ya Absa imetoa ufadhili wa kiasi cha shs milioni 30 kwa taasisi ya Doris Mollel kwa ajili hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Obedi Laiser(katikati), akizungumza katika hafla ya makabidhiano wa msaada wa vifaa vitakavyosaidia huduma za watoto wanaozaliwa kabla ya muda (Njiti) wakiwa hospitalini. Benki ya Absa imetoa ufadhili wa kiasi cha shs milioni 30 kwa taasisi ya Doris Mollel Kwa ajili hiyo. Kushoto kwake ni Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, mhe. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati), akikata utepe kuzindua hafla ya makabidhiano ya msaada wa vifaa vitakavyosaidia huduma za watoto wanaozaliwa kabla ya muda (Njiti) wakiwa hospitalini. Benki ya Absa imetoa ufadhili wa kiasi cha shs milioni 30 kwa taasisi ya Doris Mollel kwa ajili hiyo.
Mkurugenzi wa taasisi ya Doris Mollel Foundation, Doris Mollel akitoa shukurani Kwa mgeni rasmi, benki ya Absa na wote wakiofanikisha upatikanaji wa vifaa hivyo vitakavyosaidia kuokoa maisha ya watoto nyiti wakiwa hospitalini.

No comments:

Post a Comment

Absa Dar City Marathon 2024 zatimua vumbi jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (kushoto), akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa mbio za nu...

Pages