TUNATAKA KUONA TAFORI ILIYOBORESHWA - WAZIRI KAIRUKI - Business Insights

Mgongopr.blogspot.com is a business centered online platform highlighting trade, finance and economic news in Tanzania. Our coverage is customised to ensure we consolidate brands, boost sales and nurture investments. The site is an imprint of Mgongo Logistics and Solutions, a trusted consultancy firm, offering Social Media Management, Photography, Videography, Advertising, Event Management and Translation. For more information contact us via; Phone: +715765454 email: mgongo@gmail.com

Breaking

Tuesday, July 9, 2024

TUNATAKA KUONA TAFORI ILIYOBORESHWA - WAZIRI KAIRUKI

Na Happiness Shayo - Morogoro 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) ametoa rai kwa Watumishi wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (Mb) kutimiza wajibu wao kuhakikisha Taasisi hiyo inaboreka na hatimaye kuchangia katika mapato ya Taifa.

Ameyasema hayo leo katika ziara yake ya kikazi alipotembelea Taasisi hiyo kwa lengo la kuangalia utendaji kazi, kusikiliza changamoto za Watumishi na kuzupatia ufumbuzi. 
Amesema katika kufikia malengo ya Taasisi ni lazima wakawa wabunifu katika utekelezaji wa majukumu yao huku Serikali ikifanyia kazi changamoto za bajeti, vitendea kazi na upungufu wa Watumishi wote zinazowakabili.

"Fuatilieni fursa za mafunzo ili kukuza utendaji kazi wenu na mjitoe kufanya kazi kwa bidii na msikate tamaa" amesisitiza. 
Aidha amewataka Watumishi hao kujiwekea mipango mbadala ya kuiongezea Taasisi hiyo mapato kwa kuandika maandiko mbalimbali ya kuomba fedha katika Taasisi zinazotoa fedha hizo akitolea mfano wa Earth Fund na nyinginezo.

No comments:

Post a Comment

ABSA BANK TANZANIA STRENGTHENS PARTNERSHIPS WITH CORPORATE CLIENTS THROUGH NETWORKING BREAKFAST

Absa Group Chief Executive Officer for Corporate and Investment Banking (CIB), Mr. Zaid Moola (second right), engages with some of Absa Bank...

Pages