Saturday, February 15, 2025
Home
Unlabelled
YAS YADHAMINI TAMASHA LA MAASAI TOURISM CULTURE KUKUZA UTAMADUNI WA KITANZANIA.
YAS YADHAMINI TAMASHA LA MAASAI TOURISM CULTURE KUKUZA UTAMADUNI WA KITANZANIA.
Kaimu Mkurugenzi wa Mtandao wa simu wa Yas Tanzania Kanda ya Kaskazini,Daniel Mainoya, akimwelezea Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni Tanzania Boniface Kadili, kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, kuhusu bidhaa na huduma za Yas wakati wa Maasai Tourism Cultural Festival inayofanyika katika Uwanja wa Magereza, Kisongo,Arusha. Yas inadhamini tamasha hilo kwa lengo la kukuza na kuhifadhi utamaduni wa Kitanzania.
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Benki ya Absa Tanzania na ASA Microfinance Yaadhimisha Miaka Minne ya Mafanikio katika Kuwawezesha Wanawake na Kubadilisha Jamii
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,...
No comments:
Post a Comment