Sunday, September 23, 2012
Home
Unlabelled
Shule ya Sekondari Kighare, mwanga yapigwa tafu
Shule ya Sekondari Kighare, mwanga yapigwa tafu
Mkuu wa Wilaya ya
Mwanga, Shaibu Ndemanga akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Saruji
ya Tanzania Portland Cement Ltd, Pascal Lesoinne baada ya kuzindua rasmi madarasa
mawili ya Shule ya Sekondari Kighare, yaliyojengwa na Kitengo cha Uwezeshaji
cha Kampuni ya HeidelbergCement kwa kushirikiana na TPCC na wakala wa
usambazaji wa saruji za Twiga ya Joram General Enterprises Ltd. Hafla hiyo
ilifanyika Mwanga, Kilimanjaro mwishoni mwa wiki. Madarasa hayo yalibomolewa na
mafuriko mwaka jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Saruji ya Tanzania Portland Cement
(TPCC), Pascal Lesoinne akizungumza katika hafla ya uzinduzi rasmi madarasa
mawili ya Shule ya Sekondari Kighare, yaliyojengwa na Kitengo cha Uwezeshaji
cha Kampuni ya HeidelbergCement kwa kushirikiana na TPCC na wakala wa
usambazaji wa saruji za Twiga ya Joram General Enterprises Ltd. Hafla hiyo
ilifanyika Mwanga, Kilimanjaro mwishoni mwa wiki. Madarasa hayo yalibomolewa na
mafuriko mwaka jana.
Picha ikionyesha majengo ya
madarasa hayo yaliyojengwa na Kitengo cha Uwezeshaji cha Kampuni ya HeidelbergCement kwa
kushirikiana na TPCC na wakala wa usambazaji wa saruji za Twiga ya Joram
General Enterprises Ltd.
HeidelbergCement Competence Centre Materials
Director, Barry Hudson (3rd L), Mwanga District Commissioner,
Shwaibu Issa Ndemangwa (4th L), cuts a ribbon during the
inauguration ceremony of two classrooms of Kighare Secondary School constructed
by the Belgium Competence Centre Materials in partnership with Tanzania
Portland Cement and Joram General Enterprises Ltd. A brief occasion was held at
the school premises in Mwanga, Kilimanjaro over the weekend. Others from left are TPCC CSR Executive, Natasha D'Souza and
TPCC Managing Director, Pascal Lesoinne and School headmistress, Mary Namleza.
The classrooms were destroyed by floods last year.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Benki ya Absa yaendeleza udhamini wake Absa Dar City Marathon
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (wa pili kushoto) akionyesha fulana zitakazovaliwa siku ya mbio ...
No comments:
Post a Comment