Timu ya Taifa ya Tenisi ya Walemavu yaelekea Kenya kushiriki michuano ya Kimataifa - Serious Business

Mgongopr.blogspot.com is a serious online platform of business and finance news from around Tanzania. We are a trusted site covering the entire spectrum, from small enterprises to large businesses entities. For photography, videography, media management, events management, advertising, public relations, translation, interpreters, and more services, please contact us: MPP Ltd phone: +255 767765454, email: mgongo@gmail.com

Breaking

Friday, February 12, 2016

Timu ya Taifa ya Tenisi ya Walemavu yaelekea Kenya kushiriki michuano ya Kimataifa

Katibu Mkuu wa Chama cha Tenisi Tanzania (TTA),  Bw. William Kallaghe (kulia) akizungumza katika hafla ambayo timu ya taifa ya mchezo wa tenisi ya walemavu (wheelchair tennis) ilikabidhiwa bendera ili kuwaaga kwa ajili ya safari yao kwenda nchini Kenya kushiriki michuano  kadhaa ya kimataifa ya mchezo huo nchini humo. Kushoto ni makamu katibu mkuu wa TTA, Bw. Joshua Mutale na Ofisa Michezo kutoka Baraza la Michezo la Taifa (MBT), Bw. Benson Chacha. Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo.
 Ofisa Michezo wa  Baraza la Michezo la Taifa (BMT),  Bw. Benson Chacha (kushoto) akizungumza  katika hafla hiyo. Katikati ni Katibu Mkuu wa TTA, William Kallaghe na kulia ni ni mmoja wa makocha wa timu hiyo,  Bw.Riziki Salum.
Ofisa Michezo wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Bw.Benson Chacha (kushoto),  akikabidhi bendera ya taifa kwa nahodha wa timu ya taifa ya mpira wa tenisi, Juma Mohamed katika hafla yakuwaaga wachezaji hao jijini Dar es salaam leo kwa ajili ya safari yao kwenda nchini Kenya kushiriki michuano  kadhaa ya kimataifa ya mchezo huo nchini humo.
Ofisa Michezo wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Bw.Benson Chacha (kushoto)  akimkabidhi cheti Latifa Nassoro kwa kutambua mchango wa udhamini wa Tanzania Petroleum Service.
Katibu Mkuu wa Chama cha Tenisi Tanzania (TTA), Bw. William Kallaghe (wa pili kulia) akimkabidhi cheti cha shukrani Ofisa Michezo wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Bw.Benson Chacha kwa kutambua mchango wa baraza hiko katika maendeleo ya tenisi nchini. wengine pichani ni baadhi ya wachezaji wa timu hiyo. Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo.(Photos by Brian Peter Mgongo)

No comments:

Post a Comment

Minister officially launches real estate giant Coldwell Banker Tanzania and Zanzibar

Zanzibar Minister for Labour, Economy, and Investment, Shariff Ali Shariff addresses guests during the launch of Coldwell Banker Tanzania an...

Pages